Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Tanzania ilitaka ATCL (Cargo flights) itumie Nairobi kama Hub ya kwenda third countries kwa kanuni zilezile.Huyo mnafiki anatafuta kiki za kisiasa tu.., aende zake huko..., hana lolote, tunamjua..!
Tuambiwe chanzo cha ndege za ATCL kuzuiwa ilikuwa ni nini, halafu sisi wenyewe ndio tuaamua tumalize mzozo au tuendelee nao, asituingilie kwenye hili...
Kiufundi huo ni ujanjaujanja na uswahili.