Kenya na Tanzania kusuluhisha Mzozo wa Safari za Ndege ndani ya Siku 3

Huyo mnafiki anatafuta kiki za kisiasa tu.., aende zake huko..., hana lolote, tunamjua..!

Tuambiwe chanzo cha ndege za ATCL kuzuiwa ilikuwa ni nini, halafu sisi wenyewe ndio tuaamua tumalize mzozo au tuendelee nao, asituingilie kwenye hili...
Tanzania ilitaka ATCL (Cargo flights) itumie Nairobi kama Hub ya kwenda third countries kwa kanuni zilezile.

Kiufundi huo ni ujanjaujanja na uswahili.
 
Kiingereza 'ni cha wazungu weupe pe sasa wakenya na rangi yao ..ni kujikomboa kuomba tu wajifunze kiswahili tuu ...mzungu kwao pazuri daily likizo utalii Africa ...kuna kitu wanataka saa wa key waendelee
 
Tanzania ilitaka ATCL (Cargo flights) itumie Nairobi kama Hub ya kwenda third countries kwa kanuni zilezile.

Kiufundi huo ni ujanjaujanja na uswahili.
Kuna tatizo gani kama wanalipa gharama za kutumia uwanja? Au wanautumia bure huo uwanja?
Mbona wao ndege zao zinatua huku Dar na wanaleta hadi wazungu waliotoka ulaya? Au third party ni nini?
 
Tanzania ilitaka ATCL (Cargo flights) itumie Nairobi kama Hub ya kwenda third countries kwa kanuni zilezile.

Kiufundi huo ni ujanjaujanja na uswahili.
Samahani unaweza toa maelezo zaidi ?
 
Kuna tatizo gani kama wanalipa gharama za kutumia uwanja? Au wanautumia bure huo uwanja?
Mbona wao ndege zao zinatua huku Dar na wanaleta hadi wazungu waliotoka ulaya? Au third party ni nini?
Samahani unaweza toa maelezo zaidi ?
Tanzania yadaiwa kutaka kutumia Nairobi kama Hub yaani ndege zatua pale na shughuli zote pale kabla ya kwenda nchi zingine.

Ukianza kufanya hiyo kuwa hub waharibu.

Third party au third country ni nchi ingine kwa mfano ATCL itue Nairobi lakini kwa minajili ya kufanya safari kwenda Addis Ababa au uwanja mwingine.

Kama kanuni zaruhusu hiyo haina shida lakini suala ambalo lipo mezani ni ndege za mizigo na si ndege za abiria ambazo Tanzania imezizuia kuanzia hiyo tarehe 22 January.

Hii ni biashara hivyo ni akili za kibiashara zahitajika na si siasa.

Haya masuala huatka kuketi chini na kuzungumza kisha kukubaliana vinginevyo mwatengezeana dhahama.
 
Tanzania yadaiwa kutaka kutumia Nairobi kama Hub yaani ndege zatua pale na shughuli zote pale kabla ya kwenda nchi zingine.

Ukianza kufanya hiyo kuwa hub waharibu.

Third party au third country ni nchi ingine kwa mfano ATCL itue Nairobi lakini kwa minajili ya kufanya safari kwenda Addis Ababa au uwanja mwingine.

Kama kanuni zaruhusu hiyo haina shida lakini suala ambalo lipo mezani ni ndege za mizigo na si ndege za abiria ambazo Tanzania imezizuia kuanzia hiyo tarehe 22 January.

Hii ni biashara hivyo ni akili za kibiashara zahitajika na si siasa.

Haya masuala huatka kuketi chini na kuzungumza kisha kukubaliana vinginevyo mwatengezeana dhahama.
Bure au wanalipa?
 
Namaanisha ATCL wanalipa wakitumia hiyo Hub au wanataka kutumia bure?
Kwa kupewa kibali kingine hiyo yamaanisha kwamba ATCL watalipia kiasi fulani cha tozo.

Au waweza kuwa hawalipii tozo yoyote kwa kuzingatia kuwa sisi ni nchi za EAC.
 
Kwa kupewa kibali kingine hiyo yamaanisha kwamba ATCL watalipia kiasi fulani cha tozo.

Au waweza kuwa hawalipii tozo yoyote kwa kuzingatia kuwa sisi ni nchi za EAC.
Kwahiyo hata wao wakija huku kwetu hawalipi kwakuwa ni EAC sio?
 
Back
Top Bottom