PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 659
- 1,074
Wakuu hii imekaaje? Ni sahihi mwalimu kufukuzwa? Je, tatizo ni mwalimu au wanafunzi?
Karibuni.
Karibuni.
Lakini msisahau kuwa Kenya ni barbaric Nation.Wakuu hii imekaaje ni sahihi mwalimu kufukuzwa. Je tatizo ni mwalimu au wanafunzi?
Karibuni View attachment 2872263
Ndio kitu gani hiki?Kenya ni barbaric Nation
Wengine wanapewa nafasi zilizowazidi uwezoLinapotokea kosa mahali popote anaanza kulaumiwa mkuu.
Ukubwa ni jalala
Wala sijui na hupaswi kujuaNdio kitu gani hiki?
Barabaig ndio nini?Wala sijui na hupaswi kujua
Kajifunze kusoma na kuandika😃Barabaig ndio nini?
Mitoto yenyewe hii sahv kutwa wamevaa headphone wanasikiliza singeli na amapiano na kukatika maunoHiyo mbona ipo hata shule za private za bongo? Wanafunzi wafeli halafu uje unilitee za kuleta mimi mkuu wa shule nakuachia shule yako fasta, kazi zipo nyingi duniani za kufanya sibebembelezi kazi ya kufundisha bora nikalime