Martin Hamza
New Member
- Jan 13, 2024
- 2
- 3
Naomba wadau wa Jamiiforums waweze kufatilia uovu unaofanywa na mwalimu mmoja katika shule ya secondary Kanoge ambayo ipo wilaya ya Nsimbo mkoani Katavi kwani katika shule hiyo kuna mwalimu wa somo la Chemistry pia ni mwalimu wa nidhamu.
Ana tabia ya kukataza wanafunzi wasisome somo la Chemistry akidai anahitaji wanafunzi wachache anaweza kuwafundisha table teach maana ukianglia Kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2024 hata 15 hawafiki wengi aliwatoa kwenye somo hilo kisa wamepata wastani wa "C na D".
Kwenye somo hilo pia hata wanafunzi waliomaliza kidato cha nne 2023 aliwafukuza kwenye somo lake, kuwarudisha aliwambia hao aliwafukuza kila mmoja alipe elfu5 ndo arudi.
Sasa naomba waziri wa elimu , afisa elimu mkoa na wilaya, mkuu wa mkoa , na wilaya waweze kulishughlikia swala hilo mana kuna wanafunzi wana ndoto ya kusoma masomo ya sayansi lakini mwalimu huyo anakatisha ndoto zako kwa interest zake binafsi.
Ana tabia ya kukataza wanafunzi wasisome somo la Chemistry akidai anahitaji wanafunzi wachache anaweza kuwafundisha table teach maana ukianglia Kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 2024 hata 15 hawafiki wengi aliwatoa kwenye somo hilo kisa wamepata wastani wa "C na D".
Kwenye somo hilo pia hata wanafunzi waliomaliza kidato cha nne 2023 aliwafukuza kwenye somo lake, kuwarudisha aliwambia hao aliwafukuza kila mmoja alipe elfu5 ndo arudi.
Sasa naomba waziri wa elimu , afisa elimu mkoa na wilaya, mkuu wa mkoa , na wilaya waweze kulishughlikia swala hilo mana kuna wanafunzi wana ndoto ya kusoma masomo ya sayansi lakini mwalimu huyo anakatisha ndoto zako kwa interest zake binafsi.