Hapa St. Ivuga unacheza below par kabisa. Ngoja nimwite Rejao. Una bahati I am out of this league now.....lol:A S-coffee:
Leo mnajadili makenge... Orayt. Mwali utaniletea feedback ya huu mjadala huku wodi ya wenye mabusha.
Huyu mnyama nampenda sana
Hapa St. Ivuga unacheza below par kabisa. Ngoja nimwite Rejao. Una bahati I am out of this league now.....lol:A S-coffee:
ivuga, kenge kakupendeza na nini jamani
ivi kenge ndio kama simba eeeh!!!...hapana,ukiwa kwa mbali anafanana na ngiri...lakini c ngiri...ni kama KAA!!...aaarghhh...hata cmkumbuki tena huyu mnyama!!!
Nipo saint ivuga ni vijimambo tu vinaingiliana nakuwa niko busy, huwa naingia ila kwa mara moja mojagaga mbona umepotea hivi jamnani? au unajichimbiaga jukwaa gani?