miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Samahani!
Was just a joke!
joke vipi mpira huku kwenye mamaba sikuelewi
Samahani!
Was just a joke!
yupi kenge yupi mamba?
yupi kenge yupi mamba yupi mjusi.sasa niambie sasa na wewe mbwembwe nyingi kama msanii wa bongo fleva kupigisha watu kelele kumbe anatumia playback
Hivi mamba akigegedwa na kenge ananasa mimba?
Au ni sawa na kucheza soka kwenye uwanja usio na magoli.(kutoa umatemate tu)
Maana kondoo akigegedwa na mbuzi huwa holaa.
Nimekusoma kiongozi.Kwa hiyo usahihi wake ni upi?Mamba anaweza mtagisha/mtotolesha/mmayaisha kenge?hao wote hawazai mkuu bali wanataga xo badili swal!!
inasemekana watoto Wa mwisho Wa mamba ni kenge
muongo
yupi kenge yupi mamba?
Hao ni komodo dragons kama sikosei
yupi kenge yupi mamba yupi mjusi.
hao wote ni kenge dume wanapigania jike
Kumbe asante
hapo nilikuwa sijui kama kenge ni yaya wa watoto wa mamba