KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Staili anayotumia JK kama mnaangalia vizuri ni Staili ya Mfa maji.
Mshishangae kuamuka asubuhi siku moja mkakuta ametimuka. Huyu jamaa stability yake ni ndogo sana, muda si mrefu ataanza kukimbia hata wapiga kura wake.
Huu ndio utakuwa mwanzo wa udictator.
Mshishangae kuamuka asubuhi siku moja mkakuta ametimuka. Huyu jamaa stability yake ni ndogo sana, muda si mrefu ataanza kukimbia hata wapiga kura wake.
Huu ndio utakuwa mwanzo wa udictator.