Kuna mzee moja alikuwa akifanya kazi ya ofisi flani ,sasa huwa muda mwingi wanaingia asubuhi saa11 na kutoka saa5 usiku. Siku moja akiwa nyumbani amekaa sebleni mtoto wake akaja,kwa kuwa hamjui baba yake ikabidi amwambie mama mama sebleni kuna mgeni kaja