Acha kebehi wewe mwanamke.Njoo nikuweke ndani uwe house boy wangu
upo wapi jovitha nije kufanya hiyo kazi mimi maana hali mbayaNjoo nikuweke ndani uwe house boy wangu
Akikataa nniambie mimi nije.. Ama tayari ushapata house boy?Njoo nikuweke ndani uwe house boy wangu
Hahaaa utawezaa ila boss Galapagose ndiyo atakuwa anakulipaupo wapi jovitha nije kufanya hiyo kazi mimi maana hali mbaya
hilo jina lko tu hpn duuuu nishapata asee hata huyu akishidwa niyafanta mwenywwAkikataa nniambie mimi nije.. Ama tayari ushapata house boy?
nitaweza kwa vyovyote vile nipe mamaHahaaa utawezaa ila boss Galapagose ndiyo atakuwa anakulipa
Cc: @Galapagose
Hahaaa ila mshahara tunakuwekea mpk pale utakapotaka kuacha kazinitaweza kwa vyovyote vile nipe mama
Ila ajue kudai maana wanakopa kinyamaUza urembo wa kina dada mkuu. Biashara ina faida sana hii.
Hahaaa utawezaa ila boss Galapagose ndiyo atakuwa anakulipa
Cc: @Galapagose
Hahaha baby atakimbia huyu kwa hayo maelezo.nitaweza kwa vyovyote vile nipe mama
Hahaaa ila mshahara tunakuwekea mpk pale utakapotaka kuacha kazi
Umeonaee Alf nilikuwa na mtega tu nione km kweli nia yake ni kaziHahaha baby atakimbia huyu kwa hayo maelezo.
Teh teh teh.Umeonaee Alf nilikuwa na mtega tu nione km kweli nia yake ni kazi
Hahaa hata asipo rudi tutafanya wenyewe we unapika mi naosha vyombo tunagawana majukumuTeh teh teh.
Sidhani kama atarudi huyu.
Unajua unafanya mapenzi yang kutoisha kumoyo.Hahaa hata asipo rudi tutafanya wenyewe we unapika mi naosha vyombo tunagawana majukumu
Usijali mpnz nipo kwa ajili yako lolote usemalo nitafanyaaaUnajua unafanya mapenzi yang kutoisha kumoyo.
Hii kwa lugha zilizo safiri we call ENDLESS LOVE.
Habari wakuu?
Ni kijana wa kiume mwenyewe umri usiozidi miaka 27
Nimemaliza degree katika maswala ya kodi mwaka 2014
Nilipata vikazi lakini vya mkataba(contract job) ambazo ndio nilikua nafanya up to this time ambapo mkataba umeisha na hakuna dalili za kuongezewa
Aisee nahitaji mtu yoyote mwenyewe connection hapa Dar es salaam angalau hata nipate pa kujishikiza
Siangalii malipo wakuu swala ninalotaka ni kupata sehemu yakwenda tu asubuhi mana Najua ukiwa na sehemu takutana na watu na tapata hata connection zingine
Sichagui kazi ila ni mfanya kazi mzuri a ia bidii ya kutosha
Naomba kuwasilisha wakuu huku nikihitaji msaada zaidi hata wa mawazo
Hii degree ni shida sana, Kuna ndugu yangu alitafuta kazi sana akaishia uteller bank, lakini maisha yanaenda ivo ivo.Nimemaliza ifm bachelor of taxation
Kazi za Kodi nilizowahi kuzifanya ni kama
Kuwaelimisha wafanyabiashara kuhusu elimu ya kodi
Kutengeneza tax returns
Kufanya assessment na zinginezo
Nimeishi mikoa kama Dodoma,singida,Mbeya,Tabora na Dar es salaam ambapo ndio mwenyeji zaidi
Mahitaji ni kwanza kumudu at least garama za maisha na kufikia malengo ya kimaendeleo lakini pia kujiendeleza zaidi katika nyanja ya maswala ya kodi
Na ningeshukuru ungeniruhusu nije PM ili turlewane zaidi Mkuu!