NSSF hawalipi mafao yako kama hujafukuzwa kazi, hata kama mkataba umeisha

Mugabe wa Bongo

Senior Member
Apr 14, 2012
145
72
Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako, wanadai umeacha kazi mwenyewe.

Ili wakupe mafao yako wanasema ni hadi ufukuzwe kazi na mwajiri ndo wanaweza kukulipa!!!!

Pesa ni zako lakini kukulipa inakua shida. imeshangaa sana

Tusaidiane kupaza sauti.
 
Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako, wanadai umeacha kazi mwenyewe.

Ili wakupe mafao yako wanasema ni hadi ufukuzwe kazi na mwajiri ndo wanaweza kukulipa!!!!

Pesa ni zako lakini kukulipa inakua shida....Nimeshangaa sana

Tusaidiane kupaza sauti.
Mbona ni utaratibu tokea mda
 
Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako, wanadai umeacha kazi mwenyewe.

Ili wakupe mafao yako wanasema ni hadi ufukuzwe kazi na mwajiri ndo wanaweza kukulipa!!!!

Pesa ni zako lakini kukulipa inakua shida....Nimeshangaa sana

Tusaidiane kupaza sauti.
Hivi hela yako unayokatwa na kupelekwa NSSF ni asilimia ngapi.
Tuanzie hapo kwanza
 
Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako, wanadai umeacha kazi mwenyewe.

Ili wakupe mafao yako wanasema ni hadi ufukuzwe kazi na mwajiri ndo wanaweza kukulipa!!!!

Pesa ni zako lakini kukulipa inakua shida....Nimeshangaa sana

Tusaidiane kupaza sauti.
Kwa nini uache kuasaini mktaba mpya, una elimu gani bora wazazi wako wajinyime wakulipie ada halafu wewe unapata kazi halafu hutaki kufanya kazi eti ukimbilie NSSF.

Nawapongeza NSSF kwa kuondokana na huu upuuzi. Watu mtaani tunatafuta jinsi ya kupunguza vijana wazururaji na wasio na kazi wewe unapata kazi unaleta upumbavu wako
 
kwa nini uache kuasaini mktaba mpya una elimu gani bora wazazi wako wajinyime wakulipie ada halafu wewe unapata kazi halafu hutaki kufanya kazi eti ukimbilie Nssf. Nawapongeza Nssf kwa kuondokana na huu upuuzi. watu mtaani tunatafuta jinsi ya kupunguza vijana wazururaji na wasio na kazi wewe unapata kazi unaleta upumbavu wako

sasa huoni hiyo hela angeichukua angeweza kujiajiri na kuajiri wengine huku lile gap aliloacha kazini likazibwa na mwingine.
 
Shida ya makato ya NSSF ni makubwa na wale wenye mishahara mikubwa ndani ya muda mfupi wanakuwa na mamilioni ya hela ambayo mtu anaweza kufanya kitu sasa na kikaleta impact kubwa kwenye maisha yake kuliko kusubiri hiyo 55-60yrs.

Kiwango kinachokatwa kingekuwa kidogo na baadala yake hela nyingine ikaingia moja kwa moja kwenye mshahara wa mtu angalau mtu angeshawishika kuiacha hiyo hela kwa hiyo 60yrs.

NSSF wangekuwa wanatoa option za kukopesha kwa wale wenye hela nyingi na hela kubaki kama bond yao huku wakiendelea kuchangia kama ambavyo bank hufanya kwa mtu mwenye fixed account, NSSF kupitia hizi nyumba wanazojenga wangeondoa urasimu na kujenga nyumba bora za kisasa zinazoendana na thamani na kuwakopesha au kuwapangisha wanachama wao kwa bond ya hela zao huku wakilipa madeni kidogokidogo.

Tanzania kila kitu kigumu hata pale ambapo watu wanaweza kutumia akili kidogo na kuleta urahisi kwa wananchi wao, Watanzania tutafika mbinguni tukiwa tumechoka sana.
 
sasa huoni hiyo hela angeichukua angeweza kujiajiri na kuajiri wengine huku lile gap aliloacha kazini likazibwa na mwingine.
Hakuna mtu kama huyo anayekataa kazi ili akachukuwe hela ya Nssf... Dhana halisi ya nssf ni mafao baada ya kustaff siyo bank ya kuweka hela kisha unaenda kuwithdraw.. nssf siyo bank...
 
Hakuna mtu kama huyo anayekataa kazi ili akachukuwe hela ya Nssf... Dhana halisi ya nssf ni mafao baada ya kustaff siyo bank ya kuweka hela kisha unaenda kuwithdraw.. nssf siyo bank...

Kila mtu anapenda sana kuiacha hiyo hela shida inaanzia pale mtu anapokosa option kupata mtaji wa kujiajiri na kuongeza kipato ilihali anaona akiendelea kuajiliwa ataendelea kuwa mtumwa milele kwa kipato kidogo ambacho hakikidhi mahitaji yake.

Ingekuwa kuna urahisi wa upatikanaji wa mitaji isingekuwa issue kuziacha hizo hela.

Lingine: kuna watu wako sekta binafsi kutoka ajira moja kwenda ajira nyingine ni mtafutano wa zaidi ya miaka 5 au asipate kabisa hiyo ajira, wengine sekta binafsi wanakutana na redundacy wakiwa na umri wa 43yrs ambako kuajirika ni ngumu na mafao yake yapo huko miaka mingi unamwambie asubiri 55 - 60yrs huku uhalisia huyu mtu anafamilia.
 
Kila mtu anapenda sana kuiacha hiyo hela shida inaanzia pale mtu anapokosa option kupata mtaji wa kujiajiri na kuongeza kipato ilihali anaona akiendelea kuajiliwa ataendelea kuwa mtumwa milele kwa kipato kidogo ambacho hakikidhi mahitaji yake.

Ingekuwa kuna urahisi wa upatikanaji wa mitaji isingekuwa issue kuziacha hizo hela.

Lingine: kuna watu wako sekta binafsi kutoka ajira moja kwenda ajira nyingine ni mtafutano wa zaidi ya miaka 5 au asipate kabisa hiyo ajira, wengine sekta binafsi wanakutana na redundacy wakiwa na umri wa 43yrs ambako kuajirika ni ngumu na mafao yake yapo huko miaka mingi unamwambie asubiri 55 - 60yrs huku uhalisia huyu mtu anafamilia.
Mkuu kwenye hoja yako ya kwanza naamini ni suala la upumbavu wetu kuchagua viongozi ambao ni wabinafsi kabisa. Kabla ya Mkapa hii michango ilikwa wala haisumbuwi alipokuja kujua nssf inahela nyingi wakaanza kujikopesha hizi wanasiasa, na kujikopesha serikali na kujifanya inajenga miradi mingi ambayo in reality hainufaishi beneficiaries at all.

Ila dhana pili ni kuwa lengo la wewe kuajiriwa ni kutimiza majukumu ya ulichokisomea sasa mkuu kijana anapata ajira baadala atulie eti linapewa mkataba halafu halisaini sababu za kitoto eti kisa kuni limbikizo nssf...

Humu kuna maushauri mengi yametolewa sana kama huna ujuzi wa kufanya biashara usiende benki kwa lengo la kukopa ufanye biashara ya whatsapp utajiua kama yule binti wa Arumeru.
 
NSSF wanaishi zama za mawe enzi za 80's kushuka chini bila kujua dunia imebadirika sana na mambo yamebadirika sana.

Zamani ajira zilikuwa serikalini na mashirika ya umma ambapo guarantee ya kazi mpaka 60yrs ilikuwepo lakini siku hizi wengi hufanya kazi sekta binafsi ambako guarantee ya kazi ni ndogo na kazi ni za kuungaunga sana ili uzipate matokeo yake wanaishia kutesa watu uraiani huku wakiwa na hela zao zimekaliwa.

Upatikanaji wa kazi uraiani umekuwa mgumu, na hali ya maisha imekuwa ngumu, mtu ameachishwa kazi unamwambia akatafute kazi kipindi hana kazi yeye na familia yake nani anawalisha? unajua itamchukua muda gani kupata kazi? mnajua kazi zinavyopatikana huku uraiani?,
 
kwa nini uache kuasaini mktaba mpya una elimu gani bora wazazi wako wajinyime wakulipie ada halafu wewe unapata kazi halafu hutaki kufanya kazi eti ukimbilie Nssf. Nawapongeza Nssf kwa kuondokana na huu upuuzi. watu mtaani tunatafuta jinsi ya kupunguza vijana wazururaji na wasio na kazi wewe unapata kazi unaleta upumbavu wako
Huu nao pia ni upumbavu ambao bado unatawala.vichwa vya watu wengi. Usifanye kazi ili usifiwe na watu kuwa unafanya kazi sehemu flan lazma ifike mahara mtu utambue kuwa wewe sio mfanyakazi tu kwenye taasisi au shirika ulipo ajiriwa Bali ni mfanyabiashara unaye wauzia uwezo, maarifa na ujuzi wako ili wafikie malengo yao, na kama mfanyabiashara lazma mda mwingine uangalie mteja mwenyewe ofa nzuri Zaid kwa bidhaa yako ili ufikie malengo yako na wewe . Fanya kazi ili ikusaidie kufikia malengo yako sio kuwanufaisha waajiri wako pekee.

Kwaiyo kama sehemu hailipi na nimepata sehemu wanapotoa package nzuri nisikatishe mkataba kisa wazazi walijinyima kunisomesha na nimepata Kaz nataka kuiacha?
 
Huu nao pia ni upumbavu ambao bado unatawala.vichwa vya watu wengi. Usifanye kazi ili usifiwe na watu kuwa unafanya kazi sehemu flan lazma ifike mahara mtu utambue kuwa wewe sio mfanyakazi tu kwenye taasisi au shirika ulipo ajiriwa Bali ni mfanyabiashara unaye wauzia uwezo, maarifa na ujuzi wako ili wafikie malengo yao, na kama mfanyabiashara lazma mda mwingine uangalie mteja mwenyewe ofa nzuri Zaid kwa bidhaa yako ili ufikie malengo yako na wewe . Fanya kazi ili ikusaidie kufikia malengo yako sio kuwanufaisha waajiri wako pekee.

Kwaiyo kama sehemu hailipi na nimepata sehemu wanapotoa package nzuri nisikatishe mkataba kisa wazazi walijinyima kunisomesha na nimepata Kaz nataka kuiacha?
Huyo mdau umemsoma vizuri Mkuu.. Yeye hakupata sehemu inayolipa vizuri in short hana option B ya ajira option yake ilikuwa kukimbilia nssf sasa huyo utamuita muuza uwezo Brother
 
Mkuu kwenye hoja yako ya kwanza naamini ni suala la upumbavu wetu kuchagua viongozi ambao ni wabinafsi kabisa. Kabla ya Mkapa hii michango ilikwa wala haisumbuwi alipokuja kujua nssf inahela nyingi wakaanza kujikopesha hizi wanasiasa, na kujikopesha serikali na kujifanya inajenga miradi mingi ambayo in reality hainufaishi beneficiaries at all.

Ila dhana pili ni kuwa lengo la wewe kuajiriwa ni kutimiza majukumu ya ulichokisomea sasa mkuu kijana anapata ajira baadala atulie eti linapewa mkataba halafu halisaini sababu za kitoto eti kisa kuni limbikizo nssf...

Humu kuna maushauri mengi yametolewa sana kama huna ujuzi wa kufanya biashara usiende benki kwa lengo la kukopa ufanye biashara ya whatsapp utajiua kama yule binti wa Arumeru.

Huwezi kumlazimisha mtu kufanya kazi anayoona sio sahihu kwake kwa wakati huo na hesabu zake alishazipiga afanye kazi kwa miaka kadhaa achukue mafai yake aangalie utaratibu mpya wa maisha yake.

Lengo lake ni kutimiza ndoto za kuwa mfanyabiashara na sio kuajiriwa na option pekee ya kupata kianzio ni hiyo ameona.
 
Huyo mdau umemusoma vizuri Mkuu.. Yeye hakupata sehemu inayolipa vizuri in short hana option B ya ajira option yake ilikuwa kukimbilia nssf sasa huyo utamuita muuza uwezo Brother
Hapo sawa ila.labda anataka kuanzisha biashara
 
kwa nini uache kuasaini mktaba mpya una elimu gani bora wazazi wako wajinyime wakulipie ada halafu wewe unapata kazi halafu hutaki kufanya kazi eti ukimbilie Nssf. Nawapongeza Nssf kwa kuondokana na huu upuuzi. watu mtaani tunatafuta jinsi ya kupunguza vijana wazururaji na wasio na kazi wewe unapata kazi unaleta upumbavu wako
Mkuu kila mtu anahesabu zake sidhani kama mtu anaweza acha kusaini mkataba kama amepima maslahi yanajitosheleza.
Nafikiri wewe upo sehemu nzuri mshukuru Mungu, kuna watu wanapokea mishahara midogo sana kwa mwezi ambapo wewe ukipewa huwezi hata kuibajeti, sasa mtu kama huyu kama hajalaza akili hawezi kuitegemea ajira hadi astaafu miaka 60 ni sawa na kuuitaka umasikini.

Cha msingi nssf iachane na hizi sera kandamizi na badala yake iwalipe watu hela zao wanapofukuzwa kazi ili wakajiajiri.
 
Wakuu kuna kitu kimenishangaza sana kuhusu NSSF, ni kwamba kama wewe ni mfanyakazi na mkataba wa kazi umeisha sehemu ulipokuwa unafanyia kazi, ukaona mazingira ya kazi si mazuri, ukaamua kutosaini mkataba mwingine, hapo inakuwa imekula upande wako, ukienda NSSF hawakulipi hata senti yako, wanadai umeacha kazi mwenyewe.

Ili wakupe mafao yako wanasema ni hadi ufukuzwe kazi na mwajiri ndo wanaweza kukulipa!!!!

Pesa ni zako lakini kukulipa inakua shida. imeshangaa sana

Tusaidiane kupaza sauti.
Hizi pension plans ni legal Pyramid/Ponzi schemes. Sio za kuzitegemea kabisa kwa sababu pesa yako inalipia waliostaafu sasa hivi na wewe subiri ukistaafu ndio utakuja kulipwa.
 
Inshort NSSF ni wezi tu. Ukijua hili wala hautaziwazia hizo hela kuanzia unapopewa mkataba wa kazi
 
Babu siyo kweli hayo madai yako mim nimefanya kaz na baadaye mkataba ukaisha na nimepata pesa zangu vizur tu za NSSF kikubwa fuata maelezo kwanza lazima upate barua ya kusitisha mkataba na lazima isainiwe na HR wako
 
Back
Top Bottom