ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Embu kwenda zako huko....kazi gani ya kumalizia mtaji kuwakopesheni wachovu wa mtaa?!
Hahahhah...WARIDI unataka tuuane?!
<br />
<br />
kudos NN
sasa mbona unaandikaga kisharo sharo?
SIDANGANYIKI kwa herufi KUBWA!!ningekushauri uanze kujipendekeza kwangu haraka iwezekanavyo, nina mpango wa kununua share za microsoft. Nikimaliza hapo nitainunua mpaka JF, hawa invizibo na Paw nitawapa kazi ya kuedit posts zangu tu.
apana..nataka afe we ubak...haha hah hah!!!!!<br />
cz kale kachokoz sana..
u see?
umeamini wewe una interest ya ualimu wa lugha?
thou hongera ..una chngereza kilichosimama
apana..nataka afe we ubak...haha hah hah!!!!!
cz kale kachokoz sana..
Hahhhahha....double G asante sana kwa kunichekesha maana ningelala sijacheka leo.
Owkey list inaendelea...
Double G yeye ni profesor mstaafu wa physics (japo hajui bado) and he is obssesed with time travel.Anaamini karibu ataunda kamashine kakumrudisha kwenye ujana wake.
AfroD ndo mama ntilie wa hapa maeneo ya ofisi.
Baba mchungaji (nawaambia hii kama siri...) ni mchungaji kwa mawazo yake ila alishafukuzwa zamani kwa ulevi uliokithiri.Siku hizi hata misa hua hahudhurii...alafu eti lawama zote kwangu!!!
uuuuwwiiii mbavu zangu,hahahaha eti AD mama ntilie,teh teh poor Rev.haha duh God bless ya!
Alafu akiniwahi ile kwangu ehhh?!
We hunipendi kabisa!!
kheeee kumbe hunipendi?