..eti ritz ni kalani Radio Uhuru
nimesoma thread yote sijaona mtu kamuongelea Malaria sugu!hivi huyu ni nan?jibu plzzzzz
na ule mradi wako wa vitumbua na maandazi unaendeleaje?
hukusoma hapo bana!eti Sasa hana kaz alifukuzwaga na lizzy kwene mradi wa kukaanga vitumbua?Good Guy said:nasikia alimwajiri kijana wa kazi Malaria mradi ukafa,badae Paw ndo akampigia mishe ya usekretari
Nasikia wewe striperKa Lizzy kumbe ni ka sekretari....ndo maana kanakesha JF
i cant swallow thisvoiceofreason--lipumba
kiranga--mrema lyatonga
binti maringo--vick kamata
mzee mwanakijiji-charles hilary
possiblenasikia wewe striper
@New York ni baharia eti anataka kuja kuwa waziri mkuu kama babake,hell nopossible
<br /><b>Lizzy-secretary, Preta-anahudumia internet cafe, Shosti-Saluni Asprin-anajishughulisha na shughuli ndogo ndogo(baada ya kutimuliwa ofisini) mwanakijiji-anauza mbogamboga(mvua nayo hamna anatafta kazi nyingine) Husninyo-saluni , Ivuga-kinyozi ,M.Roza-mama wa nyumbani ,Saigoni-underground(hiphop) ,Tusker baridi-as if inahitaji ufafanuzi wa kazi yake. haha,just 4 laughs guys take it easy,the list goes on t's free to add...</b>
<br />Malaria sugu muuza tasibii pale kwa mtoro!!
sweetlady muhudumu!