OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Ngoja Burundi wakinukishe utapata mbishe tu usiwaze..
Miki niko Iraq uku.
Miki niko Iraq uku.
Hivi museveni ana maslahi gani na Burundi??Uko sahihi Sana, lakini hiki ndo kipindi kizuri Sana kwa sababu haya mashirika hupata muda wa kustawi Sana baada ya myumbo wa kipindi Kama hiki. Najua Evalist wa Burundi hajawahi pata changamoto na kumbuka maadui wa Burundi Ni Museven na Kagame, hawa wapuuzi hawaeleweki.
Hhahaaha duhSio jambo zuri lakini kufa kufaana.
Huko Hakuna issue tafuta kwingine. Kambi ya Mtendeli Mwezi wa Pili inafungwa rasmi.itabaki kambi ya Nduta na Nyarugusu. Na kumbuka wwkimbizi kutoka Burundi wanaohifadhiwa kambi ya Nduta kila siku wanarejeshwa kwao. Huko kambini Hakuna future kabisa.
Kule Nyarugusu mashirika yameanza kufanya kazi za Hosting community ( kwenda kusaidia Jamii za watanzania) labda ujaribu huko. Lakini future is not promising.
Kasulu Sehemu GaniKasulu, Kigoma.
Kama Kuna Nyumba inaweza kugeuzwa Kijiji na watu wakapewa uraia Kama ilivyokuwa kambi za Mtabira au kule RukwaKufungwa kwa kambi ya mtendeli pia nilisikia, nafikiri Nyarugusu itaendelea kuwepo maana wamejenga hadi nyumba za kudumu. Kipindi naondoka kule Nyarugusu ilikuwa imesitisha kupokea wakimbizi wapya, wakawa wanapelekwa Nduta na Mtendeli.
Kama Kuna Nyumba inaweza kugeuzwa Kijiji na watu wakapewa uraia Kama ilivyokuwa kambi za mtabira au kule rukwa
Jirani Na Soko La SofyaMurubona
Warundi wapuuzi sana. SIo wa kuwapa uraia. Wale wa Katavi wanajitenga sana. Wanataa wakae wao tuKama Kuna Nyumba inaweza kugeuzwa Kijiji na watu wakapewa uraia Kama ilivyokuwa kambi za Mtabira au kule Rukwa
Mimi Niko Stand Ya Bus Jirani Na Shule
Yes!
Warundi wapuuzi sana. SIo wa kuwapa uraia. Wale wa Katavi wanajitenga sana. Wanataa wakae wao tu
Hayo Hayo Hapo Kwa MasonryOk! Stand mpya Kasulu. Shule ya msingi Murusi.
Maeneo yangu ya kujidai hayo.
🤣 🤣 🤣 Mwakeye. Nimekaa sana mtaa wa Murusi jirani na Serengeti, miaka mingi kidogo. Baadae nikahamia kwa Shayo pale.Ok! Stand mpya Kasulu. Shule ya msingi Murusi.
Maeneo yangu ya kujidai hayo.