Kazi za Kitaaluma Kugawiwa kwa Fadhila! Tumekwisha

Kuna kazi ambazo huwezi mpa mtu hata kama unampenda sana kama hana taaluma hiyo.
Hatuwezi kumpa Pasco wa JF ukuu wa kitengo cha upasuaji MOI kwa kufurahishwa na michango yake JF. Wala Mbwana Samatta kuwa Katibu Tawala Simiyu kwa vile ni mcheza mpira mahiri.
Nimesikia orodha ya ma DAS imetoka na wengi ni vijana watumikaji kisiasa bila utaalamu.
Kwa wanao fahamu, kazi ya DAS (Katibu Tawala Wilaya) sio ya kisiasa wala ya blabla na watendaji wa kazi hiyo walikuwa wanaandaliwa rasmi toka zamani katika chuo chetu cha Mzumbe.
Ni kazi ya kiutawala inayosimamia sheria na taratibu za utumishi ndani ya wilaya. Huyu ndio mtaalamu wa kumuongoza mtawala wa siasa (DC) asiende harijojo.
Sasa orodha iliyotoka ETI hata watu wenye weledi mdogo kama Mtela Mwampamba wamepewa u DAS sio tuu ni kichekesho bali ni matusi kwa hiyo wilaya aliyopelekwa.
DAS,RAS au Katibu mkuu wa wizara akiwa bogus ni maafa katika sehemu hiyo.
Sio wivu kama watu wenye akili nyepesi watakavyo fikiri bali tujiulize Taifa hili tunalipeleka wapi? Hakika kwa mwendo huu ndani ya miaka 3 tutakuwa watu wa migogoro itayo hitaji msaada wa nje.

Inawezekana umeleta mada kwa sababu za kiitikadi lakini nakuunga mkono kwa hoja yako kwamba baadhi ya walioteuliwa kuwa ma-DAS ni disaster...Nadhani wako wanaomchezea JPM kuhusiana na teuzi mbalimbali...DAS ni post ambayo siyo ya kisiasa kabisa, na mtu anayeteuliwa kuwa DAS ni lazima narudia ni lazima awe mtumishi aliyebobea katika utawala, utumishi na uongozi ...ni hatari kubwa tena sana kumteua mtu kuwa DAS kwa kuwa tu aligombea ubunge au alihusika kwenye kampeni...HII NI HATARI...nawafahamu baadhi walioteuliwa nimeachwa mdomo wazi...Tunaomba JPM asaidiwe siyo kumhujumu...Kwa nini umteue mtu ambaye hajui chochote kuhusu uongozi, utawala na utumishi???? Wale wanaopendekeza majina kwa teuzi mbalimbali watangulize taifa hili mbele...
 
ajabu baada ya kuteuliwa ndo wameagizwa wawasilishe CV zao Utumishi! hivi mtumishi wa umma awezakuteuliwa kabla ya mteuzi kupata CV ya mteuliwa? dictator uchwara at his best!
Dictator uchwara atakuwa mama yako nyambafu,unaandika kama unapuliwa mgongoni na mbowe.
 
Mkuu labda uwe hujafanya kazi kwenye utumishi wa Umma,lakini DAS na RAS ni watu muhimu sana kwenye utumishi wa umma.

Cheo hiki si cha mwanaisiasa bali cha mtuishi ambaye ni Parmanent and Pensionable...anatakiwa mtu aliyekulia ndani ya utumishi wa umma hata kwa miaka kumi,mwenye uelewa wa "Organizational Culture" ya ofisi za umma hasa kwa upande wa utumishi,ni cheo kinachotokana na mtu aliye ndani ya utumishi anayepandishwa akiwa ndani ya utumishi wa umma

Hawa vijana wengi walioteuliwa hawajawahi kuajiliwa na serikali,hawa wote walikuwa Lumumba na CCM Makao Makuu Dodoma.Hawajafanyiwa usaili wa aina yoyote kuingia katika nafasi hizo,ndio maana unaona hata Utumishi hawana CV zao ndio maana wameambiwa waende nazo.Wanaenda kuongoza watu waliodumu kwenye utumishi wa umma.

Kwa hili sipo na JPM...hii ni upotofu,hii si sawa!!Fanyia siasa koooooote lakini si kwenye "Muundo wa Utumishi" wa umma unaoongozwa na Sheria,Kanuni na Taratibu!!Sasa nini Maana ya kuwa na "Government Standing Order?"
Unaweza ukawa na hoja mkuu...lakini haieleweki tatizo ni jinsi walivyoteuliwa au kukosa uzoefu au kukosa sifa??
 
Ndio nchi yetu ilivyo daktari anaweza kuwa katibu!
Kuna watu wameshazungumza siku nyingi kuwa ofisi ya Mkuu wa Wilaya practically haina kazi. Katibu Tawala ni technical assistant wa DC, lakini ukijiuliza sana huoni kazi zake. Kazi zote za wilaya hufanywa na Ofisi ya Mkurugenzi, kuanzia elimu, afya, revenue collection, ardhi, maendeleo ya jamii, utamaduni etc. Sasa huyu mtu anayeitwa Katibu Tawala anatawala nini kwenye ofisii ya hardly watu wanne? Ni mahali vyeo vya kulipana fadhila kimsingi
 
Kuna kazi ambazo huwezi mpa mtu hata kama unampenda sana kama hana taaluma hiyo.
Hatuwezi kumpa Pasco wa JF ukuu wa kitengo cha upasuaji MOI kwa kufurahishwa na michango yake JF. Wala Mbwana Samatta kuwa Katibu Tawala Simiyu kwa vile ni mcheza mpira mahiri.
Nimesikia orodha ya ma DAS imetoka na wengi ni vijana watumikaji kisiasa bila utaalamu.
Kwa wanao fahamu, kazi ya DAS (Katibu Tawala Wilaya) sio ya kisiasa wala ya blabla na watendaji wa kazi hiyo walikuwa wanaandaliwa rasmi toka zamani katika chuo chetu cha Mzumbe.
Ni kazi ya kiutawala inayosimamia sheria na taratibu za utumishi ndani ya wilaya. Huyu ndio mtaalamu wa kumuongoza mtawala wa siasa (DC) asiende harijojo.
Sasa orodha iliyotoka ETI hata watu wenye weledi mdogo kama Mtela Mwampamba wamepewa u DAS sio tuu ni kichekesho bali ni matusi kwa hiyo wilaya aliyopelekwa.
DAS,RAS au Katibu mkuu wa wizara akiwa bogus ni maafa katika sehemu hiyo.
Sio wivu kama watu wenye akili nyepesi watakavyo fikiri bali tujiulize Taifa hili tunalipeleka wapi? Hakika kwa mwendo huu ndani ya miaka 3 tutakuwa watu wa migogoro itayo hitaji msaada wa nje.
Nchi hii ina laana hii!!!
 
hayo mambo ya kubobea bobea ndio yanairudisha nchi nyuma.

hao waliobobea miaka yote wamefanya nini cha maana zaidi ya kuibia taifa tu..

hii ccm mpya haina kucheka ni hapa kazi tu

Inawezekana umeleta mada kwa sababu za kiitikadi lakini nakuunga mkono kwa hoja yako kwamba baadhi ya walioteuliwa kuwa ma-DAS ni disaster...Nadhani wako wanaomchezea JPM kuhusiana na teuzi mbalimbali...DAS ni post ambayo siyo ya kisiasa kabisa, na mtu anayeteuliwa kuwa DAS ni lazima narudia ni lazima awe mtumishi aliyebobea katika utawala, utumishi na uongozi ...ni hatari kubwa tena sana kumteua mtu kuwa DAS kwa kuwa tu aligombea ubunge au alihusika kwenye kampeni...HII NI HATARI...nawafahamu baadhi walioteuliwa nimeachwa mdomo wazi...Tunaomba JPM asaidiwe siyo kumhujumu...Kwa nini umteue mtu ambaye hajui chochote kuhusu uongozi, utawala na utumishi???? Wale wanaopendekeza majina kwa teuzi mbalimbali watangulize taifa hili mbele...
 
Nchi hii kweli ina rasilimali watu!
KWA MUJIBU WA MUONGOZO-JOB DESCRIPTIONS FOR THE REGIONAL ADMINISTRATION YA 2011/2012 ILIYOTOLEWA NA TAMISEMI

EXPERIENCE

Preferably 10 years of working experience

PURPOSE OF THE JOB
The purpose is to coordinate and provide overall administration of District Commissioner’s Office necessary for assisting the District Commissioner in performing all administrative support services to LGAs and other institutions within the District.

MAIN ACTIVITIES
1. To advise the DC in performing statutory, delegated and other official functions.
2. To head the district administration and act as the warrant holder and collector of revenue in the District Commissioner’s office.
3. To supervise the implementation of administration and human resources management policy and other Acts pertaining to administration and human resources management in the District Commissioner’s office.
4. To facilitate the actual provision of employee benefits and welfare services.
5. To prepare expenditure and revenue estimates for the District Commissioner’s office.
6. To serve as assistant registrar for birth and death.
7. To assist the DC in conduct marriage ceremonies.
8. To coordinate implementation of ethics and value promotion activities including corruption prevention education.
9. To coordinate implementation of open performance review and appraisal system (OPRAS) in the District Commissioner’s office.
10. To coordinate disciplinary matters in the District Commissioner’s office.
11. To coordinate and actually assist in administering relief and disaster management activities including but not limited to rescue services, restoration and keeping of relevant records.
12. To oversee complaints and grievance handling; to assist the DC in disputes arbitration.
13. Responsible for matters pertaining to protocol affairs.
14. Any other relevant duty assigned to him or her from higher authorities.

QUALIFICATION
Preferably Degree of Masters or equivalent qualification from a recognized academic institution

KNOWLEDGE

The incumbent must have proficient knowledge in the doctrine of rule of law, good governance and principles of natural justice; human resources management; performance review methods and techniques; staff training, development and recognition; delegation; mentoring and coaching; and an understanding of relevant legislations, policies and procedures.

SKILLS

The incumbent must demonstrate the leadership and supervisory skills; team building skills; problem solving skills; basic counseling skills; negotiations skills; computer skills including the ability to operate spreadsheets and word processing programs; effective verbal, listening and written communications skills including the ability to prepare reports, proposals, policies and procedures; effective public relations and public speaking skills; research and program development skills; stress management skills; interviewing skills and; time management skills.
 
Mnatia kinyaa wana UKAWA.... Mapovu yote haya yana mlenga Mwampamba,,, kuna uzi humu baada ya wakuu wa wilaya kutangazwa na jina lake kukosekana, mlimkejeli sana kwakusema hajateuliwa. Sasa rais kanteua mnaanza tena kuyokwa mapovu kumbe ni wivu.....

Badirikeni wana bavicha.... Akili zenu zikoje ninyi?
df8db22764be7e0317446748ea4f8f3f.jpg
e3b6f534409161119eefafe390e2be22.jpg
06cd3eddbd07c4445844eb12fde5f025.jpg
 
Kuna kazi ambazo huwezi mpa mtu hata kama unampenda sana kama hana taaluma hiyo.
Hatuwezi kumpa Pasco wa JF ukuu wa kitengo cha upasuaji MOI kwa kufurahishwa na michango yake JF. Wala Mbwana Samatta kuwa Katibu Tawala Simiyu kwa vile ni mcheza mpira mahiri.
Nimesikia orodha ya ma DAS imetoka na wengi ni vijana watumikaji kisiasa bila utaalamu.
Kwa wanao fahamu, kazi ya DAS (Katibu Tawala Wilaya) sio ya kisiasa wala ya blabla na watendaji wa kazi hiyo walikuwa wanaandaliwa rasmi toka zamani katika chuo chetu cha Mzumbe.
Ni kazi ya kiutawala inayosimamia sheria na taratibu za utumishi ndani ya wilaya. Huyu ndio mtaalamu wa kumuongoza mtawala wa siasa (DC) asiende harijojo.
Sasa orodha iliyotoka ETI hata watu wenye weledi mdogo kama Mtela Mwampamba wamepewa u DAS sio tuu ni kichekesho bali ni matusi kwa hiyo wilaya aliyopelekwa.
DAS,RAS au Katibu mkuu wa wizara akiwa bogus ni maafa katika sehemu hiyo.
Sio wivu kama watu wenye akili nyepesi watakavyo fikiri bali tujiulize Taifa hili tunalipeleka wapi? Hakika kwa mwendo huu ndani ya miaka 3 tutakuwa watu wa migogoro itayo hitaji msaada wa nje.
Mkuu
Sasa hivi utekelezaji wa shughuli zao ni lazima kuwe na interversion ya Polisi.
Yaan sasa hivi kazi kubwa ya kuwaletea watu Maendeleo imegeuka kuwa ninkazi ya ku deal na Wapinzani.
Hiyo ndio Main Focus kwa sasa
 
Ficha basi ujinga wako nyumbu wewe kwani hii mada inamuhusu Lowasa?
Mnatia kinyaa wana UKAWA.... Mapovu yote haya yana mlenga Mwampamba,,, kuna uzi humu baada ya wakuu wa wilaya kutangazwa na jina lake kukosekana, mlimkejeli sana kwakusema hajateuliwa. Sasa rais kanteua mnaanza tena kuyokwa mapovu kumbe ni wivu.....

Badirikeni wana bavicha.... Akili zenu zikoje ninyi?
df8db22764be7e0317446748ea4f8f3f.jpg
e3b6f534409161119eefafe390e2be22.jpg
06cd3eddbd07c4445844eb12fde5f025.jpg
 
Mnatia kinyaa wana UKAWA.... Mapovu yote haya yana mlenga Mwampamba,,, kuna uzi humu baada ya wakuu wa wilaya kutangazwa na jina lake kukosekana, mlimkejeli sana kwakusema hajateuliwa. Sasa rais kanteua mnaanza tena kuyokwa mapovu kumbe ni wivu.....

Badirikeni wana bavicha.... Akili zenu zikoje ninyi?
df8db22764be7e0317446748ea4f8f3f.jpg
e3b6f534409161119eefafe390e2be22.jpg
06cd3eddbd07c4445844eb12fde5f025.jpg

Mkuu labda uwe hujafanya kazi kwenye utumishi wa Umma,lakini DAS na RAS ni watu muhimu sana kwenye utumishi wa umma sanaa tuu!!Hiki cheo hakiitaji siasa!Tutashangaa kesi zinajaa Mhakama ya Kazi au CMA(Commision for Mediation and Arbitration)

Cheo hiki si cha mwanaisiasa bali cha mtumishi ambaye ni Parmanent and Pensionable...anatakiwa mtu aliyekulia ndani ya utumishi wa umma hata kwa miaka kumi,mwenye uelewa wa "Organizational Culture" ya ofisi za umma hasa kwa upande wa utumishi,ni cheo kinachotokana na mtu aliye ndani ya utumishi anayepandishwa akiwa ndani ya utumishi wa umma

Hawa vijana wengi walioteuliwa hawajawahi kuajiliwa na serikali,hawa wote walikuwa Lumumba na CCM Makao Makuu Dodoma.Hawajafanyiwa usaili wa aina yoyote kuingia katika nafasi hizo,ndio maana unaona hata Utumishi hawana CV zao ndio maana wameambiwa waende nazo.Wanaenda kuongoza watu waliodumu kwenye utumishi wa umma kwa muda mrefu na weledi wa kutosha katika kanuni,taratibu na sheria za utumishi

Kifupi ni kuwa DAS au RAS ni sawa na Katibu Mkuu katika Wizara,na sio Waziri...Waziri anaweza kuja leo na kesho akashindwa uchaguzi akakosa hiyo nafasi,lkn Katibu Mkuu yupo pale pale,yeye ndio mwenye kujua haswaa Wizara na mahitaji yake,hatokani na siasa au vyama bali mfumo ndani ya utumishi wa umma.Sasa DAS ni kama Katibu Msaidizi na DC kama Naibu Waziri,Wakati RAS ni kama Katibu Mkuu na RC kama Waziri.DC na RC wanaweza hamishwa hamishwa sbb za kisiasa lakini si RAS na DAS

Hawa vijana wanaenda kukutana na watu wengine ndani ya ofisi ya DAS wenye uweledi kuwazidi,hawa wamedumu utumishi na wameingia kwa usaili na si kubebwa.Angeteuwa basi wale walio na weledi,uzoefu na ufahamu wa hii kazi na si hii "shukrani ya kisiasa"

Kwa hili sipo na JPM...hii ni upotofu,hii si sawa!!Fanyia siasa koooooote lakini si kwenye "Muundo wa Utumishi" wa umma unaoongozwa na Sheria,Kanuni na Taratibu!!Sasa nini Maana ya kuwa na "Government Standing Order?"
 
Back
Top Bottom