Kazi ya polisi ngumu sana

Kazi ya polisi ngumu sana

Juzi kati kuna mama mmoja aliiona ni kazi mbaya sana, polisi unaweza kutumwa ukakamate wazazi wako, mama akaona hii ni kazi ya laana
 
Zamani kazi hii ilikuwa ya wajinga wajinga waliofeli shuleni kabla haijawa kimbilio kwa waliofeli kwenda walikokuwa wanapataka. Kimsingi shuleni hakuna mwanafunzi anayesoma ili aje kuwa polisi. Ni option ya mwisho baada ya mwanafunzi kufeli kwenda kwenye fani pendwa
 
Bora ukawe mwalimu tu, habari za kula rushwa zitakupitia mbali, labda upakaziwe unalabua wanafunzi hiyo ndiyo kashfa wanazopakaziwa walimu
 
Kazi ya polisi inahitaji msomi aliyebobea kada ya sheria.changamoto ya polisi wetu ni zero brain ndiyo maana Inaonekana kama ngumu.Mfano ikitokea umetumwa kutekeleza matakwa Kwa manufaa ya mwanasiasa anatakiwa kukataa maana atakuwa amekiuka taratibu za polisi lakini Kwa kuwa polisi wetu ni mbulula wanakubali Kila wanaloambiwa hata jambo la kijinga.Mfano jambo la gwajima kusema ukweli kuhusu utekaji imeonekana ni kosa na polisi wetu walivyo zero brain wamekubali kulifunga kanisa.
 
Back
Top Bottom