Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
🤣🤣🤣🤣 Eti atakuwa siyo kilizi.Sema mtoto wangu atakuwa sio kilizi sana 🤣🤣🤣🤣🤣!!!
Chemistry sindo nambembeleza alale akishiba. Nashukuru sana ujio wa pampers, maana nilipokuwa chalii niliwazaga lile zoezi ya kufua nepi ni noma.
Watoto hawatabiriki ujue.
Mara moja moja umlishe na jokes za hapa na pale inaongeza kitu Kati ya baba na mtoto.
Wababa wavivu utawajua tu🤣🤣🤣🤣..muone.