Kazi ya CONSTRUCTION HELPER Abudhabi U.A.E

much like modern day slavery
 
much like modern day slavery
Kazi yoyote ya kuajiriwa ni utumwa mkuu

Kama nilikuwa Tanzania na sikupata kazi ya kujipatia angalau pesa ya kula,ila nimekuja huku nina uhakika wa kupata pesa kila mwisho wa mwezi na nikapata angalau chochote cha kutuma nyumbani basi ni bora niendelee kuwa mtumwa
 

Mkuu wewe unanufaikaje na mtu kuja kufanya kazi huko UAE , maana hili sio tangazo la kazi ni tangazo la biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…