Kazi wanayofanya vyema Watanzania wenye Phd nikufelisha wanafunzi wazawa; Wapo Maprofesa hata kununua kiti/meza ofisini kwake anasubiri Serikali

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,124
Nakumbuka kufeli kwa wanafunzi wa Sheria mwaka huu na mwaka jana na sababu zilizotolewa na shule ya sheria Dar es salaam. Naangalia inachukua muda gani vyuo vya Tanzania kuprinti cheti cha mwanafunzi aliyehitimu; naangalia inachukuliwa hatua gani kwa wasomi wazembe na wasio na maadili, naangalia ni kazi gani wasome wenye PHd waliopo vyuoni wanafanya yakuimarisha mawazo na fikra zao.

Haya yote ukiyachambua unabaini wapo madaktari na maprofesa ambao tofauti na kufundisha hana kazi nyingine amewahi kufanya. Wapo maprofesa ambao tafiti zao hazijawahi kutumika popote.

Ukifika ofisini kwa profesa pale UDSM na ukaenda ofisi ya mwalimu wa Bao Bao utabaini kwanini hawa watu wameshindwa kujikwamua. Kama profesa awezi kugharamia kutengeneza kiti na meza vya kukalia yeye anasubiri serikali imnunulie unandani ataipenda nchi yake.

Mbaya zaidi wapo maprofesa wengi ambao wamezuia watu wenye akili wasiwe maprofesa kwa sababu ya roho mbaya.

Kwa maprofesa hawa wenye kuamini kukariri na siyo kufanya kazi field tusipoamua kuwachuja tukabaki na wale ambao elimu zao zitabadilisha maisha ya wengine lazima tufeli.

Ifike mahali tuwe na wasomi ambao mwanafunzi akifeli roho inauma na anajiona kabisa hakufanya kazi yake. Tuwe na maprofesa kama wa vyuo vya wenzetu ulimwengu wa kwanza ambao wanapambana mwanafunzi asifeli na wala asiumizwe na maisha ya vyuo. Tuwe na maprofesa wenye roho nzuri kama waalimu wa private schools ambapo wanajivunia ufaulu.
 
Si ndio mnasema wawe na first class?
Sasa hayo ndio matunda ya genius waliorundikwa kwenye vyuo vyetu
Nani kakwambia genius anakuwaga creative??
Creative ni separate entity na genius
Wabunifu mzee ni kipaji sio maGPA mbuzi
 
Nakumbuka kufeli kwa wanafunzi wa Sheria mwaka huu na mwaka jana na sababu zilizotolewa na shule ya sheria Dar es salaam. Naangalia inachukua muda gani vyuo vya Tanzania kuprinti cheti cha mwanafunzi aliyehitimu; naangalia inachukuliwa hatua gani kwa wasomi wazembe na wasio na maadili, naangalia ni kazi gani wasome wenye PHd waliopo vyuoni wanafanya yakuimarisha mawazo na fikra zao.

Haya yote ukiyachambua unabaini wapo madaktari na maprofesa ambao tofauti na kufundisha hana kazi nyingine amewahi kufanya. Wapo maprofesa ambao tafiti zao hazijawahi kutumika popote.

Ukifika ofisini kwa profesa pale UDSM na ukaenda ofisi ya mwalimu wa Bao Bao utabaini kwanini hawa watu wameshindwa kujikwamua. Kama profesa awezi kugharamia kutengeneza kiti na meza vya kukalia yeye anasubiri serikali imnunulie unandani ataipenda nchi yake.

Mbaya zaidi wapo maprofesa wengi ambao wamezuia watu wenye akili wasiwe maprofesa kwa sababu ya roho mbaya.

Kwa maprofesa hawa wenye kuamini kukariri na siyo kufanya kazi field tusipoamua kuwachuja tukabaki na wale ambao elimu zao zitabadilisha maisha ya wengine lazima tufeli.

Ifike mahali tuwe na wasomi ambao mwanafunzi akifeli roho inauma na anajiona kabisa hakufanya kazi yake. Tuwe na maprofesa kama wa vyuo vya wenzetu ulimwengu wa kwanza ambao wanapambana mwanafunzi asifeli na wala asiumizwe na maisha ya vyuo. Tuwe na maprofesa wenye roho nzuri kama waalimu wa private schools ambapo wanajivunia ufaulu.
umeongea neno kubwa sana mkuu.

yaani huwa inatafakarisha sana!


JESUS IS SAVIOR&LORD
 
Nakumbuka kufeli kwa wanafunzi wa Sheria mwaka huu na mwaka jana na sababu zilizotolewa na shule ya sheria Dar es salaam. Naangalia inachukua muda gani vyuo vya Tanzania kuprinti cheti cha mwanafunzi aliyehitimu; naangalia inachukuliwa hatua gani kwa wasomi wazembe na wasio na maadili, naangalia ni kazi gani wasome wenye PHd waliopo vyuoni wanafanya yakuimarisha mawazo na fikra zao.

Haya yote ukiyachambua unabaini wapo madaktari na maprofesa ambao tofauti na kufundisha hana kazi nyingine amewahi kufanya. Wapo maprofesa ambao tafiti zao hazijawahi kutumika popote.

Ukifika ofisini kwa profesa pale UDSM na ukaenda ofisi ya mwalimu wa Bao Bao utabaini kwanini hawa watu wameshindwa kujikwamua. Kama profesa awezi kugharamia kutengeneza kiti na meza vya kukalia yeye anasubiri serikali imnunulie unandani ataipenda nchi yake.

Mbaya zaidi wapo maprofesa wengi ambao wamezuia watu wenye akili wasiwe maprofesa kwa sababu ya roho mbaya.

Kwa maprofesa hawa wenye kuamini kukariri na siyo kufanya kazi field tusipoamua kuwachuja tukabaki na wale ambao elimu zao zitabadilisha maisha ya wengine lazima tufeli.

Ifike mahali tuwe na wasomi ambao mwanafunzi akifeli roho inauma na anajiona kabisa hakufanya kazi yake. Tuwe na maprofesa kama wa vyuo vya wenzetu ulimwengu wa kwanza ambao wanapambana mwanafunzi asifeli na wala asiumizwe na maisha ya vyuo. Tuwe na maprofesa wenye roho nzuri kama waalimu wa private schools ambapo wanajivunia ufaulu.
Kabisa! Viongozi wetu hawa akina Samia, Mpango na Majaliwa hawaelewi chochote zaidi ya siasa hafifu za majukwaani.
 
Si ndio mnasema wawe na first class?
Sasa hayo ndio matunda ya genius waliorundikwa kwenye vyuo vyetu
Nani kakwambia genius anakuwaga creative??
Creative ni separate entity na genius
Wabunifu mzee ni kipaji sio maGPA mbuzi
Tulikuwa na mwalimu mmoja o level alikuwa anafundisha biology shule ya jirani na tulikuwa tunaenda kwake kusoma ,alipata jina kubwa sana especially kweny ishu za practical .

Alikuwa anafanya kazi serikalini ila kipind Cha Magu nilisikia kafukuzwa ana vyeti feki,ila ukiangalia alikuwa nondo na kafaulisha na tangu hapo niliambiwa kachukuliwa na shule ya private.

Pale Town alikuwa anajua sana kwake ukienda watu kibao kutoka shule mbalimbali anawafundisha na wanafunzi wake wengi wamefaulu mmoja wapo ni mmi nilisoma tuition kwake.


Mpaka Leo siamini kama alikuwa na vyeti feki.
 
Si ndio mnasema wawe na first class?
Sasa hayo ndio matunda ya genius waliorundikwa kwenye vyuo vyetu
Nani kakwambia genius anakuwaga creative??
Creative ni separate entity na genius
Wabunifu mzee ni kipaji sio maGPA mbuzi
Ndugai alisema kuanzia Form four awe brain.

Form 4. Form 6. Chuo kote. Hakuishia tu GPA ya chuo
 
Tulikuwa na mwalimu mmoja o level alikuwa anafundisha biology shule ya jirani na tulikuwa tunaenda kwake kusoma ,alipata jina kubwa sana especially kweny ishu za practical .

Alikuwa anafanya kazi serikalini ila kipind Cha Magu nilisikia kafukuzwa ana vyeti feki,ila ukiangalia alikuwa nondo na kafaulisha na tangu hapo niliambiwa kachukuliwa na shule ya private.

Pale Town alikuwa anajua sana kwake ukienda watu kibao kutoka shule mbalimbali anawafundisha na wanafunzi wake wengi wamefaulu mmoja wapo ni mmi nilisoma tuition kwake.


Mpaka Leo siamini kama alikuwa na vyeti feki.
Kuna watu walifeli enzi wakisoma ila ni kuwa hawakupata mazingira mazuri ila akianza kufundisha ni kama anasoma tena. KWA miaka mingi anaiva
 
Wewe unaamini makaratasi badala ya kuamini kitu halisi?

Yaan makaratasi yenye picha ya Rais unawezaje kuyaaamini kulikoni kumuona Rais mwenyewe?

Yaani unaamini cheti kuliko mwenye cheti mwenyewe na pengine unaona mpaka kazi anazofanya unazidisquilify kwa basis ya cheti???

Huo ni ununda aiseh
 
Hao ma profesor na ma PhD holders mngewajua mngewahurumia .

Wapo na stress sana ktk maisha yao

Wengi wao expectation zao hazijatimia,waliamini katika kitabu pekee bila ya kujiongeza .

Wamekaa darasani miaka tele lakini bado kimaisha wapo nyuma wanaishi kwa mikopo ya serikalini tu.

Hiyo stress imepelekea wengine kuwa na roho ya korosho na makasiriko mda wote.
 
Si ndio mnasema wawe na first class?
Sasa hayo ndio matunda ya genius waliorundikwa kwenye vyuo vyetu
Nani kakwambia genius anakuwaga creative??
Creative ni separate entity na genius
Wabunifu mzee ni kipaji sio maGPA mbuzi
kweli kabisa hata Einstein na ugenious wake wote hakuvumbua kitu cho chote zaidi ya kuimba theory na kupiga porojo tu
 
Tulikuwa na mwalimu mmoja o level alikuwa anafundisha biology shule ya jirani na tulikuwa tunaenda kwake kusoma ,alipata jina kubwa sana especially kweny ishu za practical .

Alikuwa anafanya kazi serikalini ila kipind Cha Magu nilisikia kafukuzwa ana vyeti feki,ila ukiangalia alikuwa nondo na kafaulisha na tangu hapo niliambiwa kachukuliwa na shule ya private.

Pale Town alikuwa anajua sana kwake ukienda watu kibao kutoka shule mbalimbali anawafundisha na wanafunzi wake wengi wamefaulu mmoja wapo ni mmi nilisoma tuition kwake.


Mpaka Leo siamini kama alikuwa na vyeti feki.
Still ana vyeti fake! Kama anajua mbona asifuate taratibu kupata vyeti halali?
 
Huwezi ukawa na akili za darasani na ukawa na akili za maisha.
Maprofu wengi nje ya kukariri ni empty kichwan ukija kwenye general knowledge.
Thus wengi wao uishia kuwa chawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom