NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
Bwawani mwanyamala wakala wa CCM wametoka kwenye vyumba vya kuhesabia kura kwa madai kuwa hawana imani na polisi
Hawana imani na nini/nani?
Bwawani mwanyamala wakala wa CCM wametoka kwenye vyumba vya kuhesabia kura kwa madai kuwa hawana imani na polisi
........Aha ha ha! Kama walivyomkata Dr. W. Mgimwa fasta wakaiba fedha za EscrowKwa kopa walikata umeme wakaiba fasta©
Ccm bhana©escrow trick
Kawe ccm tumechukua
Labda kama mmechukua masanduku ya kura kama kwingineko...
Kawe ccm tumechukua
Labda kama mmechukua masanduku ya kura kama kwingineko...
Jamani wana jf usiku huu kama saa 23:18 imesikika milio ya risasi maeneo ya kawe lakin bado sijajua tatizo ni nini lakin nahisi ni maswala ya uchaguz kwa sababu kuna muda nilisikia watu wakishangilia upande flani iv wa sokoni huko na ss milio imetokea maeneo ya ukwamani apo..............,!!!!tutajulishana asubuhi kilichojiri
Jamani wana jf usiku huu kama saa 23:18 imesikika milio ya risasi maeneo ya kawe lakin bado sijajua tatizo ni nini lakin nahisi ni maswala ya uchaguz kwa sababu kuna muda nilisikia watu wakishangilia upande flani iv wa sokoni huko na ss milio imetokea maeneo ya ukwamani apo..............,!!!!tutajulishana asubuhi kilichojiri
Wamefanya fitna za wazi kabsa. Police wameitw kuleta varangati wakja na box la kura. Shame!!
Chezea Pot poti wewe ..........
Polen,i hope no body will b hurtled
Kiingereza chako kigumu mkuu.