denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kuna majinga yanashangilia ushindi wa aina hii!.
HALIMA MDEE NA WANACHADEMA NA ACT WAZALENDO WAIBUA WIZI MKUBWA SANA WA KURA
Aibu sana.
Kuna majinga yanashangilia ushindi wa aina hii!.
HALIMA MDEE NA WANACHADEMA NA ACT WAZALENDO WAIBUA WIZI MKUBWA SANA WA KURA
Mungu akupe upofu ikiwa unajua lakni unajifanya hujui.View attachment 1614639View attachment 1614640 💛 💚 💛 💚 💛
Si ndiyo maana ya FEKI au?Story ya magumashi karatasi zinaonyesha sio original kabisa.
Ukiona hivi chadema wamesha shindwa.
😂😂😂😂😂😂You know nothing. Zaidi labda kucheka cheka tu kama kamdoli.
Yaani umeandika maneno mengiiii kama vile haupo TANZANIIA.#Kurazidhaniwazo ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?
Mtuhumiwa yuko wapi na inawezekanaje awakimbie na kuwaacha wananchi wengi kiasi hicho? Kwa kitendo cha kuingilia kithibiti (Tangible evidence) tayari mmeharibu taarifa hiyo kuaminika pasipo kuwa na shaka.
Next time please be patient taking such risk decision which implication is averse to assure your integrity. It seems like this is a cover story to trigger desperate emotions among the voters which is unacceptable during the poling process.
Nimeangalia mpaka mwisho wa clip hii, na nimezoom clip yenyewe sijaona hata kura moja iliyokuwa imewekwa alama ya kupigiwa kura!!!Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Kamera yenyewe haioneshi kama kuna tiki zimewekwa kwenye karatasi.
Wewe ni mgeni hapa Jelusalem hata hujui yanayoendelea?Huo ni uongo tu hizo ni za kwao ho wanaochoma, kwa nini wasiziweke kama ushahidi na waliyemkamata nazo wampeleke police?
Hizo wametengeneza wenyewe kisha wanachoma wenyewe.
💚💛💚💛💚🇹🇿🖐👍Nimeangalia mpaka mwisho wa clip hii, na nimezoom clip yenyewe sijaona hata kura moja iliyokuwa imewekwa alama ya kupigiwa kura!!!
Hivi kwa nini mnapenda uzushi na uongo. Nilitegemea ivutwe hata moja ionyeshwe kwa karibu!! Wapi, hawajafanya hivyo. Na hapa nadhani wamefanya hivyo kukwepa mkono wa sheria ili clip hiyo itakapo hitajika kwa ajili ya ushahidi.
Kubali kushindwa kwa uhalali acheni visingizio.
Utaupeleka wapi ushahidi?Sasa si wanaharibu ushahidi?
Nani aingie ingia mwenyewe kama unajiamini hakuna wa kufanya huo upumbavu wako2020 - 2025 nchi haitawaliki, vyombo vya dola wanatakiwa wawe makini au lasivyo nchi inaharibika ndani ya muda mfupi sana.
Hatua inayofuata ni wananchi kuingia mtaani, kama mambo haya yataendelea.
Wananchi wa Kawe watazaa na huyo mcheza filamu za X wanaolazimishwa kupewa na CCM.
Hizo karatasi hazizidi 30 uibe kurqla 30 una akili timamu? ,Hii kitu iko stagedImagine, Kama kituo kimoja iko hivo Vipi maeneo mengine nchi nzima. Mfumo wa uchaguzi umepitwa na wakati. Yaani mazingira ya kupiga kura bado Yanatoa mwanya Sana wizi kufanyika
Kesi ikienda kwa yule hakimu wa Kisutu, Muunga Juhudi hata ukipeleka ushahidi huo unajisumbua tu! Nadhani kujichukulia sheria mkononi kwa kuzichoma moto yafaa sana katika nchi Judicially kwa kiasi kikubwa ime-compromise.Hawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
huyo ni mwanamke mwenzio anapambania haki yakeP
Pambana Halimaaa