Azizi J Hamad
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 442
- 230
Thibitisha??Kwa vyombo na mahakama zipi utegemee huo kuwa ushahidi? Polisi na mahakama ni taasisi zinazotumika kuficha ukweli.
Thibitisha??Kwa vyombo na mahakama zipi utegemee huo kuwa ushahidi? Polisi na mahakama ni taasisi zinazotumika kuficha ukweli.
Akaolewe tu kwa kweli.Kawe imetwaliwa, kawe imetwaliwa. Mene Mene tekeli na peresi, bye Halima zege. Kaolewage sasa bibi.
The Hague!? Au hampangi kwenda huko!?Kwa vyombo na mahakama zipi utegemee huo kuwa ushahidi? Polisi na mahakama ni taasisi zinazotumika kuficha ukweli.
Hizo kura zilizokamatwa ni za kituo gani?
CDM bwana kwa kupenda sinema. Karatasi zenyewe ukiziangalia tu zimekaa kiasarasara na wala azifananii.
Kila kituo kina idadi ya wapiga kura na majina yao. Ukifika jina lako linapigwa tick ndio unapiga kura. Mwisho wa siku yanaagaliwa majina mangapi yalijitokeza na kulinganishwa na tally kwenye masanduku ya kura.
Kama kituo kina wapiga kura 30,000 waliojitokeza 18,000 na kuhakikiwa mbele ya mawakala basi na kura aziwezi zidi 18000 hapo kura feki sijui unaziingiza vipi.
Yaani ukiwa mfuasi wa CDM lazima uwe mbutika wa kuweza amini kila kitu.
Thibitisha??
Unajua aina za ushahidi zinazokubalika kwa aina ya matukio?Mnaliwazana tu kwa ujinga wenu, mnakomalia ushahidi huo wakati kuna ushahidi mpaka wa video, magamba nyie ni wajinga kweli.
Wewe unaona nchi hii kuna mahakama kweli.Hawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
Ushaidi kwa nani, CCM? Hamna kitu hiyo, kushitakiwa nani?Hawakutakiwa kuzichoma moto. Sasa unachoma ushahidi.
Gwajima hata siku moja hakatishi bila hujma. Ndio mpango wake kufoji kura. Vijana nawapa 5, kazi nuri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Na bado!!!!!!!!Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Ebu tuelezee hizi kura zimekamatajwe? Zimekutwa wapi na nani? Wahusika wako wapi? Ni akina nani? Zilikuwa za kituo gani?Uchaguzi wa marudio hapo kwa Mtulia tuliona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na yakarudishwa vituoni. Haya yalirushwa na kituo cha ITV, kilichoendelea ni kituo cha ITV kutishwa na TCRA eti kwanini wamerusha jambo lililozua taharuki kwa jamii? Hii ndio sababu watu wamepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi.
Wananchi wa Kawe wakichoma moto kura za maruhani zilizokuwa tayari zimeshapigwa kwa wagombea wa CCM. Mungu wabariki wananchi hawa
View attachment 1614622
View attachment 1614758
Mkuu kwanini wachome Ushahidi?Aibu imekushika vibaya sana,toks muda tulikuwa tunawambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi CCM. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
Wewe mbumbumbu usijaribu kunifundisha sheria, labda unifundishe ujinga ulionao kichwani ambao siuhitaji.Unajua aina za ushahidi zinazokubalika kwa aina ya matukio?
#Kurazidhaniwazo ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?
Mtuhumiwa yuko wapi na inawezekanaje awakimbie na kuwaacha wananchi wengi kiasi hicho? Kwa kitendo cha kuingilia kithibiti (Tangible evidence) tayari mmeharibu taarifa hiyo kuaminika pasipo kuwa na shaka.
Next time please be patient taking such risk decision which implication is averse to assure your integrity. It seems like this is a cover story to trigger desperate emotions among the voters which is unacceptable during the poling process.
Jazba kama lote😁😁🇹🇿🖐💚💛💚💛💚👍Wewe mbumbumbu usijaribu kunifundisha sheria, labda unifundishe ujinga ulionao kichwani ambao siuhitaji.
Hebu niambie kwenye masuala ya uchaguzi unahitajika ushahidi gani kutoka sheria ipi?!