Uchaguzi 2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

CHADEMA wanafanya uhuni tu. Wametengeneza habari ya uongo usiokuwa karibu hata na ukweli. Kura zinapigwa uwanjani tena sehemu ya wazi.!!! Kila kitu hapo ni feki na tukio limetengenezwa. Halima hana chaka Kawe
 
Kwa vyombo na mahakama zipi utegemee huo kuwa ushahidi? Polisi na mahakama ni taasisi zinazotumika kuficha ukweli.
The Hague!? Au hampangi kwenda huko!?

Note: kuja na drama kama hii will only take me 20 minutes max.. Karatasi ya kura inajulikana na iko available kwenye media mbalimbali... Nikiwa na computer na prints ni swala la dakika tano ninakuwa na mfano wa karatasi za kura..

Simu ya Itel yenye uwezo wa kuchukua video na kujiunga mitandao ya kijamii inauzwa mpaka laki moja.. wapambe wanapatikana bure kabisa...

Kwa mtu yeyote mwenye akili huwezi kuchoma moto ushahidi.. unless unachoma ushahidi wa kukudhuru wewe mwenyewe.. (forgery). It doesn't add up ikiwa mtu unachoma ushahidi na mahakama zipo.. hata hii ya ICC ambayo inaombwa kila siku inahaji ushahidi.. au Amstedam anashauri vinginevyo!?



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hizo kura zilizokamatwa ni za kituo gani?

CDM bwana kwa kupenda sinema. Karatasi zenyewe ukiziangalia tu zimekaa kiasarasara na wala azifananii.

Kila kituo kina idadi ya wapiga kura na majina yao. Ukifika jina lako linapigwa tick ndio unapiga kura. Mwisho wa siku yanaagaliwa majina mangapi yalijitokeza na kulinganishwa na tally kwenye masanduku ya kura.

Kama kituo kina wapiga kura 30,000 waliojitokeza 18,000 na kuhakikiwa mbele ya mawakala basi na kura aziwezi zidi 18000 hapo kura feki sijui unaziingiza vipi.

Yaani ukiwa mfuasi wa CDM lazima uwe mbutika wa kuweza amini kila kitu.

Uchaguzi wa marudio hapo kwa Mtulia tuliona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na yakarudishwa vituoni. Haya yalirushwa na kituo cha ITV, kilichoendelea ni kituo cha ITV kutishwa na TCRA eti kwanini wamerusha jambo lililozua taharuki kwa jamii? Hii ndio sababu watu wamepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi.
 
Uchaguzi wa marudio hapo kwa Mtulia tuliona mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na yakarudishwa vituoni. Haya yalirushwa na kituo cha ITV, kilichoendelea ni kituo cha ITV kutishwa na TCRA eti kwanini wamerusha jambo lililozua taharuki kwa jamii? Hii ndio sababu watu wamepuuza huo ushenzi uitwao uchaguzi.
Ebu tuelezee hizi kura zimekamatajwe? Zimekutwa wapi na nani? Wahusika wako wapi? Ni akina nani? Zilikuwa za kituo gani?

Kutengeneza ka video tu na kuchoma vikaratasi watu walivyo chapisha wenyewe aimaanishi ndio ushahidi.

Sasa kuna mantiki gani ya kuwa na mawakala wa vyama huko ndani wenye jukumu la kuhakiki wanaojitokeza ili kujua tally ya kura kama zinalingana mwisho wa siku.

Ni mipango ya kitoto sijui CDM wanatafuta nini uchaguzi huu.
 
Aibu imekushika vibaya sana,toks muda tulikuwa tunawambia Magufuli hana sifa ya kushinda kwa kura. Na hiyo tabia yake ndio kaipeleka rasmi CCM. Hii tabia ya kunajisi box la kura ndio imepelekea watu kupuuza zoezi zima la upigaji wa kura. Nenda kwenye vituo vya kura uone watu walivyo wachache. Nani atashiriki upuuzi wa hivyo?
Mkuu kwanini wachome Ushahidi?
 
Unajua aina za ushahidi zinazokubalika kwa aina ya matukio?
Wewe mbumbumbu usijaribu kunifundisha sheria, labda unifundishe ujinga ulionao kichwani ambao siuhitaji.

Hebu niambie kwenye masuala ya uchaguzi unahitajika ushahidi gani kutoka sheria ipi?!
 
Unataka wapeleke hizo kura feki.ushahidi kwenye mahakama gani?.
Kwani unadhani hizo NI kura za kwanza kukamatwa?.
Hapo kibaha limekamatwa Lori kabisa na kura feki.
Kuna kesi imefunguliwa?
#Kurazidhaniwazo ni batili/feki: Kwanini hizo karatasi zinazodaiwa ni feki zichomwe harakaharaka hivyo wakati ni ushahidi kumtia mtu hatia? Kwanini hao watu wamejichukulia sheria mkononi kuharibu ushahidi wakati kufanya hivyo ni kosa ndani ya kosa?

Mtuhumiwa yuko wapi na inawezekanaje awakimbie na kuwaacha wananchi wengi kiasi hicho? Kwa kitendo cha kuingilia kithibiti (Tangible evidence) tayari mmeharibu taarifa hiyo kuaminika pasipo kuwa na shaka.

Next time please be patient taking such risk decision which implication is averse to assure your integrity. It seems like this is a cover story to trigger desperate emotions among the voters which is unacceptable during the poling process.
 
Wewe mbumbumbu usijaribu kunifundisha sheria, labda unifundishe ujinga ulionao kichwani ambao siuhitaji.

Hebu niambie kwenye masuala ya uchaguzi unahitajika ushahidi gani kutoka sheria ipi?!
Jazba kama lote😁😁🇹🇿🖐💚💛💚💛💚👍
 
Back
Top Bottom