Kawawa vs Sokoine: A Myth or Reality?

- The dataz ni huko kwenye mazishi imesomwa risala ya Museveni na makamu wake wa Rais, wakuu mlionayo hebu tumwagieni maana nasikia ilikuwa ni balaa Museveni ameamua kuwashukia wabezaji wote wa lile kongamano la majuzi kule Foundation,

- The dataz ni kwamba ilibidi Makamba akimbie kwa aibu, maana maneno mengi yalikuwa yanamlenga yeye na yale maneno yake kwamba kina Butiku ni wehu, Museveni nasikia amedai yeye anamtambua Butiku kama Meja, aliyeshirikiana naye kumng'oa Idd Amin, duh! nasikia ilikuwa aibu kubwa huko mazishini, haya wakuu tupeni dataz hapa yaliyojiri huko!

- Wenye hii hotuba jamani tupeni yote hapa mkiweza, kabla hawajaipunguza nguvu hao mafia kina Makamba, yaani mpaka viongozi wa nje nao wanawashitukia haya magarasha kina Ndulu design! Duh!

Respect.


FMEs!

Ingawaje tulimlea na kumpa elimu, huyu bwana Museveni asingilie kabisa mambo yetu ya ndani hata kama yuko sahihi. Yeye mwenyewe ana mambo mengi ya kushughulikia huko Kampala ambayo hajayamaliza, kwa hiyo hawezi kuunganisha yetu haya ya Dar-es-Salaam/Dodoma na yake ya Kampala akayaweza.
 
Ingawaje tulimlea na kumpa elimu, huyu bwana Museveni asingilie kabisa mambo yetu ya ndani hata kama yuko sahihi. Yeye mwenyewe ana mambo mengi ya kushughulikia huko Kampala ambayo hajayamaliza, kwa hiyo hawezi kuunganisha yetu haya ya Dar-es-Salaam/Dodoma na yake ya Kampala akayaweza.

- Sisi wenyewe kama hatuwezi sio kosa kusaidiwa, kama tulivyowasaidia kina Samora, Mugabe na Museveni, au?

Respect.


FMEs!
 
Mkuu KICHUGUU, umetumwa kuvuruga mjadala au huelewi maana ya forum kama JF?? wenye data na mchango makini wanaweka, lakini wewe..........muanzishie Museveni thread yake...
 
- The dataz ni huko kwenye mazishi imesomwa risala ya Museveni na makamu wake wa Rais, wakuu mlionayo hebu tumwagieni maana nasikia ilikuwa ni balaa Museveni ameamua kuwashukia wabezaji wote wa lile kongamano la majuzi kule Foundation,

- The dataz ni kwamba ilibidi Makamba akimbie kwa aibu, maana maneno mengi yalikuwa yanamlenga yeye na yale maneno yake kwamba kina Butiku ni wehu, Museveni nasikia amedai yeye anamtambua Butiku kama Meja, aliyeshirikiana naye kumng'oa Idd Amin, duh! nasikia ilikuwa aibu kubwa huko mazishini, haya wakuu tupeni dataz hapa yaliyojiri huko!

- Wenye hii hotuba jamani tupeni yote hapa mkiweza, kabla hawajaipunguza nguvu hao mafia kina Makamba, yaani mpaka viongozi wa nje nao wanawashitukia haya magarasha kina Ndulu design! Duh!

Respect.


FMEs!

sounds like M7 na Kikwete hawawivi kivile or maybe im just missing something between the lines!
 
Lakini Kawawa alikuwa na mapomgufu mengi,nakumbuka wakati Kitine alipowanyoshea kidole akina Sumaye wakati Mkapa ni president kuwa uongozi wao umejaa uchafu Kawawa akaja juu na kutamuka waziwazi kuwa watu wa sampuli ya Kitine ni wa kutoswa,na sasa tunayashuhudia yaleyale aliyoyasema Kitine,Mzee Kawawa hakuwa na ujasiri kama wa Nyerere,kwani tulitegemea baada ya kifo cha Nyerere angeweza kukekemea maovu ya viongozi lakini wapi,hata hivyo tunamuombea Mzee wetu mpendwa apumzike mahala pema kwa kweli kwa hali ilivyosasa ni kama vile alivyosema Kardinali Pengo wakati wa mazishi ya Askofu Mayala kuwa mwenyezi Mungu kumchukua Askofu Mayala kumwepusha maovu yaliyokithiri hapa nchini,RIP Mzee wetu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu

Mkuu ni kweli, kuna desturi moja chafu ambayo tumekuwa nayo watanzania, ya kutosema ukweli au kusema ukweli nusunusu. Kwanza ni lazima tukubali kuwa Mzee Kawawa ni mtanzania aliyeshiriki kuianzisha Tanzania, regardless of whether he was schooled or not. Tumeona kuwa kuna wasomi ambao hawafai na wasio wasomi wanaofaa and vice versa.

Lakini tujiulize kuwa ni kwanini watu tuliokuwa na matarajio nao makubwa baada ya Nyerere kufa hawakuwa kama tulivyotarajia? Tumeona wazi kabisa Kingunge amekuwa tofauti kabisa na yale aliyopigania kwa miaka yote (at least tuliyokuwa tunayasikia hadharani), mzee Kawawa thank God hakuwa design hiyo, lakini ni kama alikaa kimya au hakusema kile ambacho baadhi yetu tulitajia.(huenda kutokana na umri alikuwa hajui kinachoendelea, au aliamua kupuuza tu). Kama ni sauti, alikuwa nayo maana amewahi hata kumkemea Simba na akakimbia, kama angeamua kukemea mafisadi, sidhani kama angeshindwa, why did not he do it? May be those who know can say it.

Inasikitisha sana kuona mzee wetu alifanya kazi kubwa kuikomboa nchi kutoka mikono ya dharau, wizi na dhuluma, chuki na kujaribu kuwapa watanzania heshima, lakini amekufa nchi ikiwa imerudi katika hali ambao yeye na watanzania wengine walipigana kuiondoa. Baadhi yetu tumebaki na kujiliza kama aliipinga hali hiyo au aliiunga mkono, maana we did not hear much from him.



N
 
Poleni na msiba wa mzee wetu mpendwa na mnyenyekevu wanajamvi wenzangu........kuna tetesi nyingi sana kuhusiana na chanzo cha ajali iliyosababisha kifo cha hayati Sokoine,mojawapo ikiwa ni kwamba hayati mzee Kawawa alikua anahusika.........ukweli ni upi?
lisemwalo lipo kama halipo lipo njiani linakuja! nilisikia sana hizo dondooo hata kifimbo nasikia anahusika! sasa sijui ni watu tu wana pika hadithi au ni vipi sijui....
 
Poleni na msiba wa mzee wetu mpendwa na mnyenyekevu wanajamvi wenzangu........kuna tetesi nyingi sana kuhusiana na chanzo cha ajali iliyosababisha kifo cha hayati Sokoine,mojawapo ikiwa ni kwamba hayati mzee Kawawa alikua anahusika.........ukweli ni upi?

For the first time in JF I see a comrade discussing a movie plan.... myth or reality....what is the objective?...I don't see one...or may be entertainment....trying to make a movie or what?

Its human custom to speak of good deeds of people when they are dead, we were born to find this custom in place...and we want to pull down a wall which we do not know who built...and for what reasons....

Si vema kuharibu misingi ya utu kwa sababu ya tetesi.....na hata ingekuwa kuna ukweli wowote je baada ya hapo what do we do now?... So its for entertainment and leisure?

Wake up guys the two mentioned elders are dead......and its not funny discussing this rubbish!!!!!!!!!!!
 
For the first time in JF I see a comrade discussing a movie plan.... myth or reality....what is the objective?...I don't see one...or may be entertainment....trying to make a movie or what?

Its human custom to speak of good deeds of people when they are dead, we were born to find this custom in place...and we want to pull down a wall which we do not know who built...and for what reasons....

Si vema kuharibu misingi ya utu kwa sababu ya tetesi.....na hata ingekuwa kuna ukweli wowote je baada ya hapo what do we do now?... So its for entertainment and leisure?

Wake up guys the two mentioned elders are dead......and its not funny discussing this rubbish!!!!!!!!!!!

Mkuu lengo ni kuweza kuiweka sawa historia yetu, the past reflects the future.
 
Poleni na msiba wa mzee wetu mpendwa na mnyenyekevu wanajamvi wenzangu........kuna tetesi nyingi sana kuhusiana na chanzo cha ajali iliyosababisha kifo cha hayati Sokoine,mojawapo ikiwa ni kwamba hayati mzee Kawawa alikua anahusika.........ukweli ni upi?

Mkuu mtafute daktari Mkuu wa upasuaji pale Muhimbili Siku hizi MOI ndiye aliyefanya pothtmoterm ( Whatever you call it), yule ndiyo anajua kila kitu. - I think Dr Shaba - i'm not sure.......

by then nilikuwa darasa la tatu.... sikumbuki vizuri.
 
Mkuu lengo ni kuweza kuiweka sawa historia yetu, the past reflects the future.
Mh!! unaweza kuboresha zaidi komredi... ?...Kuiweka wapi?...kwenye vitabu vyetu vya kihistoria?...au kumbukumbu za sisi wana JF au wapi???
Na tutafanikiwa kupata habari nyingineyo rasmi zaidi ya ile iliyokuwa imetolewa na serikali?..at least hata kama siyo rasmi lakini yenye UKWELI na siyo HISIA TU..kwamba ukichukiana na mtu akapata ajali basi umemuua....au tutakuwa tukiendelea na dhana....UNAJUA SOTE TUNAPENDA NDANI YA JF TUJADILI HOT POINTS ILA TUSIJE TUKATEGWA KUJADILI HOT TETESI, unaweza kujikuta unafafanua tungo...na ndoto...pamoja na stori za vijueni ....halafu tukaacha HISTORIA ya penzi la samaki mtu.

Anyway tafsiri za uhuru wa mawazo ni nyingi!!!

One love comrade!!!
 
Mkuu ni kweli, kuna desturi moja chafu ambayo tumekuwa nayo watanzania, ya kutosema ukweli au kusema ukweli nusunusu. Kwanza ni lazima tukubali kuwa Mzee Kawawa ni mtanzania aliyeshiriki kuianzisha Tanzania, regardless of whether he was schooled or not. Tumeona kuwa kuna wasomi ambao hawafai na wasio wasomi wanaofaa and vice versa.

Lakini tujiulize kuwa ni kwanini watu tuliokuwa na matarajio nao makubwa baada ya Nyerere kufa hawakuwa kama tulivyotarajia? Tumeona wazi kabisa Kingunge amekuwa tofauti kabisa na yale aliyopigania kwa miaka yote (at least tuliyokuwa tunayasikia hadharani), mzee Kawawa thank God hakuwa design hiyo, lakini ni kama alikaa kimya au hakusema kile ambacho baadhi yetu tulitajia.(huenda kutokana na umri alikuwa hajui kinachoendelea, au aliamua kupuuza tu). Kama ni sauti, alikuwa nayo maana amewahi hata kumkemea Simba na akakimbia, kama angeamua kukemea mafisadi, sidhani kama angeshindwa, why did not he do it? May be those who know can say it.

Inasikitisha sana kuona mzee wetu alifanya kazi kubwa kuikomboa nchi kutoka mikono ya dharau, wizi na dhuluma, chuki na kujaribu kuwapa watanzania heshima, lakini amekufa nchi ikiwa imerudi katika hali ambao yeye na watanzania wengine walipigana kuiondoa. Baadhi yetu tumebaki na kujiliza kama aliipinga hali hiyo au aliiunga mkono, maana we did not hear much from him.



N

Kama binadamu yeyote Kawawa atkumbukwa kwa mazuri na pia madhaifu yake,Kawawa tutamkumbuka kwa uaminifu nyadhifa alizo wahi kuzipitia angekuwa kama vijana(viongozi) wetu wa leo nafikiri angekuwa ni bilionia wa kutupwa lakini wale wanaokumbuka hata hiyo nyumba ya madale serikali kwa kutumia jeshi ndo ilifanya kumjengea na hasa pale mama Sofia Marehemu alipopiga kelele lakini mzee yeye alikuwa ametulia na hali yake pale Kiluvya na biashara ya uyoga.(wenzie wameisha geuka nguzo za chumvi na biashara kama vile UBUNGO STAND)lakini mzee humsikii kwenye scandal yoyote. Mwl Nyerere pale Diamond jubilee alimwelezea Kawawa mpaka machozi yalimtoka baadhi ya makosa aliyoyafanya yalikuwa ni sababu ya nidhamu ya hali ya juu kama siyo nidhamu ya woga.
Mfano maduka ya kaya na vijiji vya ujamaa vyote vilimwangukia yeye hali alikuwa mtekelezaji tu.
Mzee huyu pamoja na madhaifu yake lakini mema yake ni mengi zaidi na ya kuigwa. Nakumbuka aliachishwa uwaziri mkuu akapewa uwaziri wa ulinzi akawa na landrover bovu linazimika ovyo barabarani ebu nambie hawa jama zetu wa leo watakubali???. Basi nisiendelee lakini mzee wetu huyu amemaliza kishujaa tutamkumbuka. Naimani kuna baadhi wakiondoka watu kadhaa watashangilia.
 
Mkuu mtafute daktari Mkuu wa upasuaji pale Muhimbili Siku hizi MOI ndiye aliyefanya pothtmoterm ( Whatever you call it), yule ndiyo anajua kila kitu. - I think Dr Shaba - i'm not sure.......

by then nilikuwa darasa la tatu.... sikumbuki vizuri.

Mkuu,kama nipo sahihi, Dr Shaba hawezi kunisaidia sana,last time nimeonana nae alikua chakari na taabani kwa ulevi,kwa sasa sijui hata nitampata wapi!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom