Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,500
- 86,042
Wadau hebu angalieni huyu baba na degree zake tatu huu ujinga anaoufanya hivi
sasa kama huyu anafanya hivi na sie walalahoi tutaishia wapi, nayaamini maneno ya Profesa wangu akiwa ananifundisha aliseama kuwa huyu jamaaa alishindwa kuandika Pepa yoyote tangu apewe hiyo PhD yake....kwa hali hii nashawishika kuwa yule Prof alikuwa sahihi
sasa kama huyu anafanya hivi na sie walalahoi tutaishia wapi, nayaamini maneno ya Profesa wangu akiwa ananifundisha aliseama kuwa huyu jamaaa alishindwa kuandika Pepa yoyote tangu apewe hiyo PhD yake....kwa hali hii nashawishika kuwa yule Prof alikuwa sahihi