minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
Dah politics za namna hii, i wish i was not born a Tanzanian :mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
:confused2:
Dah politics za namna hii, i wish i was not born a Tanzanian :mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
Pata shule yake hapa http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_410.htmlKawambwa yuko smart sana ! Anaelimu ya kueleweka hebu pitia post # 7 ! Amehangaika na shule darasani wala si online
Huyu Dr Kawambwa anaPhD ni msomi mzuri kabisa, anaweza kuishi bila kunyenyekea na kujidhalilisha kiasi hiki! Amepigia magoti picha duu kazi hizi sintoweza zifanya!
Huyu dada naye nashindwa kumwelewa kama ni mzima kweli
Dah politics za namna hii, i wish i was not born a Tanzanian :mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
Broda! Kuliko kudhalilisha professional kivile ni lazima sana ufanye kazi Tanzania? Unajua ukiisha kuwa na career nzuri kama ya Kawambwa wewe ni Citizen of the world! Unarusha tu CV unapata kazi popote duniani bila kupigia magoti picha! Nimesikitika sana na msomi huyu