Kaushauri basi!!

Kaushauri basi!!

Mr.creative

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2011
Posts
492
Reaction score
117
nimeanza mahusiano na msichana mmoja ,vitu gani vya msingi ninatakiwa niwemakini navyo ili nisilizwe?
 
Muintertain ila usijiachie kama vila umefika mwisho. Nenda naye mdogo mdogo

Hakikisha wewe ndo unamshika mapembe asije akakuchoma.
 
Kujiheshimu na uaminifu wako siku zote ndio itabaki kuwa nguzo ya mahusiano yoyote yale..kazi ni kwako.
 
piga mikito ya nguvu kaka atakuheshimu kuliko baba yake.Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom