Kauli za wanawake zinazoboa

Teh teh , ukini-delete mwenzio anani-download
 
Dame is a noble title the equivalent of sir. The same way you can call your man' my knight in shining amour' he can call you his dame which is same as knight(sir)
Mimi.nimeshuhudia.wamama watu wazima waliosoma.wanakasirika.sana. pale wakiwa barabarani halafu akatokea mtu na kumwita
Maza.(Mother). Wanaona ni uhuni kuitwa kwa jina hilo.
Wanataka umwite "mama". The same goes to neno "demu", "sHORI"


Utaona majina haya bila kujali asili yake,kwa kiswahili yanatumika na wahuni na katika hali ya kihunihuni. Sio formal.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…