silvertongue22
New Member
- Feb 28, 2009
- 1
- 0
kwanza imekatazwa na ni kinyume cha maadili ya dini.Online Christian Dating for Christian Singles | Christian Mingle
naona hiyo dhana inaenda kwa kubadilika, hapa ofcn nilipo kuna wadada ambao hawajaolewa naona wanatembea na kondom kwenye handbag zao...
Mwanaume yoyote ambaye ana jeuri ya kushuka kifuani wakati wa game kama condom imepasuka na akavaa nyingine kabla ya kupiga bao huyo ni shujaa, hapa ndio wengi tunapofeli, yani yale mabadiliko ya flavour ya ghafla yanachanganya sana na most of the time mwenzako atagundua kuwa ngoma imevuja baada ya wewe kupiga bao.
Katika chovachova zangu niliwahi kukutana na kicheche mmoja na wakati wa game akawa anadai condom inamumiza so niivue! Nikajua huu msiba babake, nikagoma. Akasema "Mi niko clean, najiamini nimepima juzi tu", Nikamuambia mi sijapima maisha yangu yote kwa hiyo sijijui, jibu lake ndo liliniacha hoi "Jinsi ninavyokupenda, sitaona hasara kufa kwa ajili yako, tufe wote tu kama unao, sitaweza kuishi bila wewe!"
niliwahi kukutana na kicheche mmoja na wakati wa game akawa anadai condom inamumiza so niivue! Nikajua huu msiba babake, nikagoma. Akasema "Mi niko clean, najiamini nimepima juzi tu", Nikamuambia mi sijapima maisha yangu yote kwa hiyo sijijui, jibu lake ndo liliniacha hoi "Jinsi ninavyokupenda, sitaona hasara kufa kwa ajili yako, tufe wote tu kama unao, sitaweza kuishi bila wewe!"
Mkuu, hii kitu umenikumbusha mkasa wangu, "Yani ata mimi huniamini unataka kutumia mpira?" na machozi alitoa.