kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Awali ya yote niwapongezi wazalendo walalahoi wa nchi kwa uvumilivu mwingi dhidi ya uongozi usionatija wa Serikali yetu.
Katika Vyombo vingi vya habari leo hii kuna Picha kutoka Ikulu ikimuonyesha Rais akisalimiana na wenyeji wa Igunga katika ziara za Kiongozi wa nchi kuhimiza manedeleo na shughuli za CCM.
Kauli na maneno ya Kiongozi wa nchi na mtawala kutoa maneno ya kushambulia muhimili mwingie wa Mhamakama na wakati huo huo kesi shauri likiwa mahakamani ni upofu na ufinyu wa busara.
Katika ili na wasiwasi kama Rais JK alipata wala nafasi fupi kusoma hukumu ya kesi ya kupinga matokeo ya Igunga au ushauri wa kisheria kutoka kwa watu wake? Kama kiongozi wa nch anaweza kutoa maneno ya upuuzi mbele ya wananchi juu ya mwenendo wa kesi ya uchaguzi Igunga ,je kwa nini pia wananchi wasiamini kama kuna wakati anawatisha watendaji wa mahakama kutekeleza mahitaji yake kama ambavyo kuna fununu katika kesi ya uchaguzi wa Arusha.?
Katika ili Raisi JK ameonyesha udhaifu wa wazi na ukosefu wa Busara na utawala bora.Moja ya nukuu ni hii
Alisema ujenzi wa Daraja ni ahadi ya serikali ya chama cha CCM na ipo katika ilani ya CCM sasa anashangaa imekuwa ni kigezo cha kuvuliwa ubunge kwa Kafumu, itabidi sasa tuwe tunafanya kampeni za Kibubu kwani ukiongea tu inakuwa kosa na hapo mbeleni itabidi tutafute namna ya kuepukana na hilikwa kauli hii naona anapingana moja kwa moja na sheria za nchi hii. Pia alisema Dr. kafumu amekata Rufaa wanachosubiri ni uamuzi wa mahakama kama watashinda au la lakini wakishindwa wataingia kwenye uchaguzi na watashinda kwa kishindo kuliko uchaguzi uliopita.
Katika Vyombo vingi vya habari leo hii kuna Picha kutoka Ikulu ikimuonyesha Rais akisalimiana na wenyeji wa Igunga katika ziara za Kiongozi wa nchi kuhimiza manedeleo na shughuli za CCM.
Kauli na maneno ya Kiongozi wa nchi na mtawala kutoa maneno ya kushambulia muhimili mwingie wa Mhamakama na wakati huo huo kesi shauri likiwa mahakamani ni upofu na ufinyu wa busara.
Katika ili na wasiwasi kama Rais JK alipata wala nafasi fupi kusoma hukumu ya kesi ya kupinga matokeo ya Igunga au ushauri wa kisheria kutoka kwa watu wake? Kama kiongozi wa nch anaweza kutoa maneno ya upuuzi mbele ya wananchi juu ya mwenendo wa kesi ya uchaguzi Igunga ,je kwa nini pia wananchi wasiamini kama kuna wakati anawatisha watendaji wa mahakama kutekeleza mahitaji yake kama ambavyo kuna fununu katika kesi ya uchaguzi wa Arusha.?
Katika ili Raisi JK ameonyesha udhaifu wa wazi na ukosefu wa Busara na utawala bora.Moja ya nukuu ni hii
Alisema ujenzi wa Daraja ni ahadi ya serikali ya chama cha CCM na ipo katika ilani ya CCM sasa anashangaa imekuwa ni kigezo cha kuvuliwa ubunge kwa Kafumu, itabidi sasa tuwe tunafanya kampeni za Kibubu kwani ukiongea tu inakuwa kosa na hapo mbeleni itabidi tutafute namna ya kuepukana na hilikwa kauli hii naona anapingana moja kwa moja na sheria za nchi hii. Pia alisema Dr. kafumu amekata Rufaa wanachosubiri ni uamuzi wa mahakama kama watashinda au la lakini wakishindwa wataingia kwenye uchaguzi na watashinda kwa kishindo kuliko uchaguzi uliopita.