Kauli za Ma Ex

Kauli za Ma Ex

"Nilikua na wee kwa hisani tyuuh kwako, na sahivi hisani yangu imeishaaa"

Hapooo ndo naachwaa aani, wakati huo nimezamaaa kwake, na mapenzi ndo nayaanza. Nusu niwehukwe kuwa chizi,

Siku nakutana nae mlimani main campus, anasema "daaah mtoto unazidi kushynee tyuuh"

nkamjibu "ndyooo nimempata mtu wa kunisitiri sahivi hisani si uliondoka nayo wee" alitazama chini kwa aibuuu.

Now muda wote kunifuatiliaaa. Afu mie hata mshipa wa nyege haustuki kwake.

Lahaulaah laufith
 
X - “ila sawa umeniumiza sana, sitaki tujuane”

XX-“Utanikumbuka,hutapata mwanamke mwenye upendo kama mimi”

XXX-“Tusiwe na uadui, ili nikifika Daslam tusitiriane”

XXXX-“Mungu akipenda tutaonana, Tanzania”

XXXXX- Ilikuwa silent, na akahama na mji.

XXXXX- tuliachana Frankfurt airport, anaelekea OR Tambo, nakuja JNIA.

Inatosha………
 
X - “ila sawa umeniumiza sana, sitaki tujuane”

XX-“Utanikumbuka,hutapata mwanamke mwenye upendo kama mimi”

XXX-“Tusiwe na uadui, ili nikifika Daslam tusitiriane”

XXXX-“Mungu akipenda tutaonana, Tanzania”

XXXXX- Ilikuwa silent, na akahama na mji.

XXXXX- tuliachana Frankfurt airport, anaelekea OR Tambo, nakuja JNIA.

Inatosha………
Yaan hii kaul yakuw hutapata mwingine kama mimi huwa wanaongea kwa kujiamn kama vile wanaiona kesho yako😀😀😃
 
Mi niliambiwa sijui uliniroga wewe mwanaume mimi na wewe ni mbingu na ardhi .Demu kichwa sana yule tatizo maujeuri na kiburi.
 
Back
Top Bottom