FMEs I like the way unavyoapproach mjadala na unavyojua kusimamia ishu. Binafsi huwa naepuka kujadili mambo ya miongo mingi iliyopita kama hayawezi kuwa intergrated kwa hali ya sasa. Sina sababu ya kuanza kumchimba Mzee Malecela.- Mkuu Aanfal, heshima yako sana Malecela sio malaika isipokuwa haters wake hawana facts za kutosha kuthibitisha mapungufu yake kiuongozi, sasa unashauri nini mkuu kwamba kwa vile hakuna facts na anaonekana kama Malaika, basi ahukumiwe tu kusulubiwa maana bila hivyo itaonekana kama yeye ni malaika, is that why we here at JF?
- Kwanini mkuu na wewe usijitume ukaleta facts za mapungufu yake, kwani ni wapi nimemlazimisha mtu hapa kuamini uongo wangu mimi ninaweka facts tu, Malecela aliposema kwamba ufisadi ni hoja ya CCM sio ya Dr. Slaa, nilisema wazi kwamba he is wrong yeye na Mama kilango wamekosea kwa sababu facts zilikuwa wazi, otherwise sikulazimishi wewe wala member yoyote hapa kuamini uongo wangu wa kumtetea anybody licha ya Malecela tu kama ninavyofanya siku zote.
- Ni vizuri sana tukawa wakweli maana hii forums inasomwa na wananchi wengi sana, sasa tukiwapotosha itakuwa sio vyema kuweka historia iliyopinda, otherwise heshima zangu kwako kwa kuwa very fair!
Respect.
FMEs!
Ukizipia hoja za watu wengi woote inaonekana wamesikia kupitia vyombo vya habari au hata simulizi ambavyo vyombo hivyo vimekuwa vikitumika kama source zetu mbalimbali ingawa wakati fulani NAVYO HUTELEZA.
Hoja yangu sasa; wewe mwenyewe umetoa ushahidi kupita kwa jamaa wa karibu wa Melecela na wale waliokuwa wanafanyakazi chini ya shirika ambalo Malecela alikuwa akilisimamia (Tafsiri nzuri mgongano wa maslahi). Unadhani ushahidi wa maneno yako kutoka kwa kundi la watu unajitosheleza kukuamini? Nadhani hukuwa na haja ya kutoa list ndefu ya watu walikuwa chini ya Malecela. Kimsingi hoja yako ya kudai ushahidi kwa waliomtuhum ndiyo ilikuwa imara otherwise objectivity inakuwa impaired.
FMEs I like the way unavyoapproach mjadala na unavyojua kusimamia ishu. Binafsi huwa naepuka kujadili mambo ya miongo mingi iliyopita kama hayawezi kuwa intergrated kwa hali ya sasa. Sina sababu ya kuanza kumchimba Mzee Malecela.
Ukizipia hoja za watu wengi woote inaonekana wamesikia kupitia vyombo vya habari au hata simulizi ambavyo vyombo hivyo vimekuwa vikitumika kama source zetu mbalimbali ingawa wakati fulani NAVYO HUTELEZA.
Hoja yangu sasa; wewe mwenyewe umetoa ushahidi kupita kwa jamaa wa karibu wa Melecela na wale waliokuwa wanafanyakazi chini ya shirika ambalo Malecela alikuwa akilisimamia (Tafsiri nzuri mgongano wa maslahi). Unadhani ushahidi wa maneno yako kutoka kwa kundi la watu unajitosheleza kukuamini? Nadhani hukuwa na haja ya kutoa list ndefu ya watu walikuwa chini ya Malecela. Kimsingi hoja yako ya kudai ushahidi kwa waliomtuhum ndiyo ilikuwa imara otherwise objectivity inakuwa impaired.
- Sasa naona tumerudi kule kule kwenye logics badala ya facts, ule ule mchezo wako wa kurudia facts zangu kutengenza debate on logic zake, samahani sana ni waste of people's time, halafu naona unahangaika sana kubadili badili maandiko vipi kunani huko?
- Saa ya kulala sasa, na ninaomba kupumzika na huu mjadala maana hauna mbele wala nyuma ila ni hating tu as usual.
Respect.
FMEs!
Katika kutafakari hali ya siaza za Tanzania nimekumbuka baadhi ya kauli za kisiasa zilizowahi kuwaudhi sana Watanzania. Kauli hizi zinawaelezaje wahusika? Na ili kuweka mambo sawa hebu tujaze mazingira na mwaka wa kauli hizi.
1. Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe- Cleopa Msuya akiwa waziri wa fedha wakati wa kikao cha bunge la bajeti mwaka 1989
2. Hata ikibidi watanzania kula nyasi ndege ya rais itanunuliwa - Mramba akiwa waziri wa fedha, mwaka.......
3. Watanzania wana wivu wa kike- Benjamin Mkapa akiwa Rais, mwaka.....
4. Watanzania wavivu wa kufikiri- Rais Benjamin Mkapa akiwa Rais, Mwaka..
5. Kelele za mpita njia hazimnyimi mwenye nyumba usingizi, Rais Kikwete, Mwaka...
6. Atakayegombea na Kikwete atakufa ghafla, Sheikh Yahaya Hussein, akiwa anapiga ramli Channel Ten, Mwaka.....
Baada ya kuziweka kumbukumbu vizuri tujiulize, hivi kauli zao hao wahusika zinawaeleza vipi?. Kwa maoni yangu kauli 1 na 2 zinawaeleza mawaziri wa fedha kama watu wasiokuwa na huruma. Kauli zingine zinawaelezaje wengine?
Ilinisikitisha sana kwa kuwa ukweli ni kwamba tuliishia kubeba mizigo yao huku tukiendelea kubeba ya kwetu. Lakini ni ukweli unaouma, mpaka sasa watu wanaenjoy jasho letu kwa kutumia hela za walipa kodi kama wanavyopenda. And it seems that it will be so for a very long period of time.
"Nimepokea maombi ya wapiga kura wengi kutoka ktk majimbo ya uchaguzi ya Kinondoni,Kigoma Mjini,Kigoma kaskazini,Geita na Kahama wakiniomba nikagombee"-Mbunge Zitto Zubeir Kabwe!
''Mimi sijawahi kuwashambulia mafisadi lakini inashangaza nimekuta jimboni mwangu wamesambaza mamilioni" - Victor Mwambalaswa (Mb-Lupa CCM), December, 2009.
4. Watanzania wavivu wa kufikiri- Rais Benjamin Mkapa akiwa Rais, Mwaka..
Katika kutafakari hali ya siaza za Tanzania nimekumbuka baadhi ya kauli za kisiasa zilizowahi kuwaudhi sana Watanzania. Kauli hizi zinawaelezaje wahusika? Na ili kuweka mambo sawa hebu tujaze mazingira na mwaka wa kauli hizi.
1. Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe- Cleopa Msuya akiwa waziri wa fedha wakati wa kikao cha bunge la bajeti mwaka 1989
2. Hata ikibidi watanzania kula nyasi ndege ya rais itanunuliwa - Mramba akiwa waziri wa fedha, mwaka.......
3. Watanzania wana wivu wa kike- Benjamin Mkapa akiwa Rais, mwaka.....
4. Watanzania wavivu wa kufikiri- Rais Benjamin Mkapa akiwa Rais, Mwaka..
5. Kelele za mpita njia hazimnyimi mwenye nyumba usingizi, Rais Kikwete, Mwaka...
6. Atakayegombea na Kikwete atakufa ghafla, Sheikh Yahaya Hussein, akiwa anapiga ramli Channel Ten, Mwaka.....
Baada ya kuziweka kumbukumbu vizuri tujiulize, hivi kauli zao hao wahusika zinawaeleza vipi?. Kwa maoni yangu kauli 1 na 2 zinawaeleza mawaziri wa fedha kama watu wasiokuwa na huruma. Kauli zingine zinawaelezaje wengine?
Kati ya wabunge waliochoka au tuseme walioingia kwenye siasa kwa njaa zao na sio kwa maslahi ya uwakilishi wa wananchi wa jimbo lake ni huyu aliyetoa kauli hii.[I said:''Mimi sijawahi kuwashambulia mafisadi lakini inashangaza nimekuta jimboni mwangu wamesambaza mamilioni" - Victor Mwambalaswa (Mb-Lupa CCM), December, 2009.[/I]
"Nimepokea maombi ya wapiga kura wengi kutoka ktk majimbo ya uchaguzi ya Kinondoni,Kigoma Mjini,Kigoma kaskazini,Geita na Kahama wakiniomba nikagombee"-Mbunge Zitto Zubeir Kabwe!
Hii nadhani inachekesha, aliitoa akiwa wapi na lini? watanzania walikasirika?
- Mkuu heshima yako sana, wewe unakubaliana na Kichuguu na mimi ninasimamia hoja yangu kwamba hii kauli originally ilidaiwa kwamba aliisema kwenye TRC Club iliyoko karibu na Central Police, ambako ni kweli siku hiyo Malecela alikuwepo ilikuwa Jumamosi kwenye tafrija ya Relwe, na bado ninakataa kwamba hakuisema hiyo kauli, isipokuwa ilitengenezwa na maadui zake kisiasa waliomtumia msaidizi wake wa karibu sana Marehemu Gisley Mapunda.
- Huu mchezo wa kumkosesha raha kisiasa Malecela haukuishia hapo, infact after that kuna "watu" walitumwa kwenda kupitia kila kona kijijini alikozaliwa kuona kama kuna anything negative inayoweza kutumiwa kumkandamiza zaidi wananchi wengi pale kijijini walimfahamisha mwenyewe juu ya watu hawa wageni pale kijijini, na baadaye walihamia mjini Dodoma, kwa vile hakukuwepo anything serious ndio zakiaanza kazi za njama za kumng'oa ubunge kwa kumtumia Marehemu Mazengo.
- Sasa ninaomba nikufahamishe hivi kwamba ninachosimamia hapa ni a principle na sio Malecela as a human, kwa sababu najua kwamba ana mapungufu mengi sana kama mimi na wewe, lakini siku zote nina mkataba na ukweli regardless unamhusu nani ninasimamia ukweli ninaoujua, na mkuu haya maswali niliwahi kumuuuliza mwenyewe Malecela, licha ya wasaidizi wake hasa Mzee Misano, aliyekuwa Manager wake wa uchaguzi na wengineo kama ndugu yake Mzee Lusinde, haiwezekani kwmba Malecela ana nguvu za ajabu kiasi cha kuwafanya hawa watu wote wazima waseme uongo on his behalf.
- Katika maisha yake ya siasa Malecela siku zote alikuwa na haters tena wa ajabu sana, ambao wako willing kusema anything ku-support the big conspiracy ambayo hawakuijua kuwa ilikuwa inaongozwa na mtu mmoja tu kwa makusudi yake binafsi, sasa ndio maana siwezi kushangazwa na ushuhuuda wako kwamba Malecela alisema, siku inayodaiwa kwamba alisema, wakati wote wa chakula alikuwa karibu sana na Marehemu Mama Kirunda, aliyekuwa Manager wa Cattering wa TRC, Tom Mmari aliyekuwa big Administrator wa TRC, Marehemu Mzee Kitenge another TRC big then, na Marehemu Mzee Kibwana another TRC big then, pia alikuwepo karibu naye alikuwa Marehemu Gisley Mapunda aliyekua personal Assistsant wake, na Waandishi wengi wa habari akiwemo Bwana Balinagwe. Na ninaomba nikuhakikishie kwamba it is a matter of time kabla vitabu vya majibu kuhusu all accusations against Malecela havijaanza kuchapishwa na ndipo wananchi wa taifa hili watakapoamua ukweli na uongo ulipo. na hivi vitabu vitawaelezea kwa urefu wale waandishi wote wa habari waliotumika na hizo conspiracy kwa kuweka wazi record zao za uandishi ili kuonyesha with evidence kwamba kwa nini kwenye Malecela walikua wanaandika bila kujali taratibu za uandishi.
- Kwenye hizi conspiracy against Malecela mkuu ninaongea na utafiiti wala sio majungu kwa hiyo, rest assured kwamba ninaheshimu sana Demokrasia na hasa Dual Process, ambapo kila upande unapewa nafasi ku-represent it case na wananchi kuamua conclusion.
Respect.
FMEs!
Kichuguu umesema kweli,FMES; nadhani uachane najitihada zako za kuandika upya history kwa kudai kuwa jambo hili halikutokea. Nadhani la maana ni kutambua kuwa ni jambo lililotokea zamani sana ambalo haliwasaidii watanzania kupata ugali wao leo, kwa hiyo halina haja kuendelea kuongelewa; badala yake watu waangalie mambo yenye umuhimu zaidi katika kipindi hiki tulicho nacho.
Unakosea sana kutoa madai ya kuwa maneno hayo yalitungwa na maadui wa kisiasa dhidi ya Waziri Malecelea aliyekuwa kwenye serikali ya Nyerere tena chini ya mfumo wa Chama kimoja. Utakuwa unawapotosha sana watoto waliozaliwa baada ya mwaka 1985 ukiwaambia kuwa wakati ule maadui wa kisiasa walikuwa wanaweza kumpakazia jambo mwanasiasa na kiongozi wa serikali, halafu eti jambo hilo la kupakaziwa likatangazwa katika vyombo vya habari ambavyo vilijkuwa vinamilikiwa na CHAMA na serikali. Naona unaleta masihara wewe, kuna watu wa heshima leo hii walijikolea kwenye suruali mbele ya Nyerere halafu etu kuwa na mkurugenzi wa RTD au Mhariri wa gaezti aeendike upuuzi aendelee kubaki madarakani. Unless unataka kusema kuwa Nyerere naye alikuwa ni mmoja wa hao conspirators; jambo ambalo litakuwa gumu zaidi kuthibitisha kwa sababu hakuwa na haja ya kufanya hivyo kama kweli alikuwa ni adui wake wa kisiasa basi asiengempa uwaziri na labda angemweka kizuizini tu.
Mawazo ni mazuri sana mkuu, lakini kama siasa zetu zingekuwa na nidhamu hiyo hapo nilipo mark red kwa mawazo yako wabunge wapya wangekuwa wanapatikana vipi? Binafsi sioni kama kauli ya Zitto kama ina ubaya wowote achilia mbali madhara hivyo napendekeza tuwe fair. Ni nchi hii hii tunakumbuka kwa umaarufu aliokuwa nao Mrema wakati huo aliweza kugombea jimbo la uchaguzi la TMK na kumshinda Cisco Mtiro pamoja na kufanyiwa kampeni na Mr Clean wa wakati huo akiwa rais wa nji na bado Mrema alishinda.Kauli hii kaitoa wiki iliyopita na kanukuriwa na vyombo vingi sana vya habari bila Mbunge Zitto kukanusha,na akaongeza zaidi kuwa kaituma timu yake ya wataalam wamletee habari ni wapi akagombee kati ya majimbo hayo 5!
Ni habari iliyotukera wengi maana ina leta maswali mengi zaidi ya majibu na kwa kweli ingekuwa nchi zilizoendelea matamshi haya ya Mbunge Zitto ndiyo ingekua kabuli lake kisiasa!
Kwanza,Je ina maana Zitto kamaliza kero zote za wana Kigoma kama mwakilishi wao na sasa anasukumwa zaidi kupeleka maendeleo kama aliyoyaleta Kigoma kwenye majimbo mengine aliyoyatambua yeye kuwa wana wawakilishi hafifu bungeni?
Pili,wapiga kura wa watz wapo tayari kumchagua Mbunge kwa sababu tu mgombea Ubunge huyo ana ujuzi zaidi wa raslimali zilizopo kwenye jimbo hilo kama Zitto aliposema kwa nini anaombwa kugombea Ubunge Kahama na Geita?
Tatu,je ni kweli anakabwa na msongo wa sifa za"Mbunge wa Taifa"hata akawa ana hisia kuwa anaweza kuwa Mbunge wa Jimbo lolote lile nchini TZ bila hata ya kujali kama kachangia nini kwenye jimbo hilo kabla ya kuomba nafasi ya Ubunge?
Mwisho,je ina maana kuwa na elimu kuhusu mikataba ya madini ndiyo sifa kubwa ya mtu husika aupate Ubunge?Je kuwepo kwake Bungeni Mheshimiwa Zitto kaisha wahi ishawishi serikali iweke mazingira mazuri ili pesa zipatikanazo kwenye madini ziwanufaishe watu wa Kahama/Geita?Au anasubiri awe Mbunge ndiyo aanze ushawishi?
Kule Kigoma wana mali asili zao,kama Chumvi,mawese na uvuvi,wakazi wengi wa kule wanafaidika lolote na malia asili hizo?Iweje asiwafanye wana Kigoma wafaidike na mali asili yao alipokuwa mbunge wa huko lkn akawafanye wana Kahama wafaidikie akiwa Mbunge wao?Mbona zipo Wilaya nyingi sana zenye madini ambazo hafikirii kwenda kugombea?Kyela wana makaa ya mawe,Arusa kuna Tanzanite,mbona haendi huko?
Kama sifa ya kuchaguliwa Kahama/Geita ni elimu ya mikataba ya madini,je ni sifa gani itakayomfanya achaguliwe kule Kinondoni kusikokuwa na madini?au ndiyo hii sifa ya kuwa"Mbunge wa Taifa"?
Nashauri akagombee kwenye jimbo walilomchagua kuwa Mbunge,maana kazi yake ya ushawishi huko itakuwa ni rahisi sana;watapima tu alichofanya kwa miaka hii 5 alipopewa Ubunge.
FMES; nadhani uachane najitihada zako za kuandika upya history kwa kudai kuwa jambo hili halikutokea. Nadhani la maana ni kutambua kuwa ni jambo lililotokea zamani sana ambalo haliwasaidii watanzania kupata ugali wao leo, kwa hiyo halina haja kuendelea kuongelewa; badala yake watu waangalie mambo yenye umuhimu zaidi katika kipindi hiki tulicho nacho.
Unakosea sana kutoa madai ya kuwa maneno hayo yalitungwa na maadui wa kisiasa dhidi ya Waziri Malecelea aliyekuwa kwenye serikali ya Nyerere tena chini ya mfumo wa Chama kimoja. Utakuwa unawapotosha sana watoto waliozaliwa baada ya mwaka 1985 ukiwaambia kuwa wakati ule maadui wa kisiasa walikuwa wanaweza kumpakazia jambo mwanasiasa na kiongozi wa serikali, halafu eti jambo hilo la kupakaziwa likatangazwa katika vyombo vya habari ambavyo vilijkuwa vinamilikiwa na CHAMA na serikali. Naona unaleta masihara wewe, kuna watu wa heshima leo hii walijikolea kwenye suruali mbele ya Nyerere halafu etu kuwa na mkurugenzi wa RTD au Mhariri wa gaezti aeendike upuuzi aendelee kubaki madarakani. Unless unataka kusema kuwa Nyerere naye alikuwa ni mmoja wa hao conspirators; jambo ambalo litakuwa gumu zaidi kuthibitisha kwa sababu hakuwa na haja ya kufanya hivyo kama kweli alikuwa ni adui wake wa kisiasa basi asiengempa uwaziri na labda angemweka kizuizini tu.
Kamanda FMES, hivi Mheshimiwa alikanusha wakati ule kuwa hakusema hayo maneno?- Mwalimu Kichuguu, sina muda wa kujadili logic utakapopata facts lete hapa tujadili, lakini otherwise sina muda wa kujadili hizi nonsense! umeleta uongo, sasa kubali badala ya kubadili badili the subject, kubali kwamba umeleta uongo!
- Sina muda wa kujadili uzuushi na majungu, pamoja na uongo wewe simply ni muongo huna facts za kuthibitisha kwamba Malecela alisema hayo maneno na alipoyasemea na aliyemsikia huwajui sasa nyamaza maana:-
!no facts, no research no right to accuse no right to speak!
FMEs!
Kamanda FMES, hivi Mheshimiwa alikanusha wakati ule kuwa hakusema hayo maneno?