Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,434
- 7,094
He yamekuwa hayo tena?Wewe mbona ulimkimbia mumeo kule Mbeya na alipokufa ukaja humu na thread ya kuomba pesa usafiri kwenda kwny msiba wa mumeo?
Mng'ato... naona unang'ata
He yamekuwa hayo tena?Wewe mbona ulimkimbia mumeo kule Mbeya na alipokufa ukaja humu na thread ya kuomba pesa usafiri kwenda kwny msiba wa mumeo?
Kama kuna mashaka na kifo cha marehemu wataanzisha shauri la uchunguzi wa kifo. Inquest.hapa nimenusa harufu ya zengwe kwa huyu binti,,huwezi ukaanza kufuatilia homicide baada ya mazishi kufanyika,ushahidi utabase kwa maneno ya mtandaoni na msibani?,au ndo binti anasukiwa zengwe la moneylaundry
Hahah mkuu huyo maza hua ana stress sana na anapenda kushambulia mambo ya ndoa za watu wakati yeye threads zake tukizifukua hapa ni balaa.He yamekuwa hayo tena?
Mng'ato... naona unang'ata
Kabisa..Huyu mke wa Mengi angekuwa Mchanga hapa pasinge kalika..
Grace sio binadamu yule...Ongezea babu mugambe hapo, yaani Robert na Grace
Itakuwa ni huyo huyo Jacky ndio kawawahisha ahera mjini au kawaweka jela ya chini mkuu!Vipi kuhusu kifo Cha ruge, kupotea been saanane, azory
sasa wewe unafanya nini hapa kama si kuingilia familia za watu?Unaweza kuthibitisha ili polisi wafanyie kazi?
Mengi ana ndugu, wana akili na wanaijua sheria. Kama kuna tatizo, wao ndio watakaokwenda kwenye vyombo vya dola ili hatua zichukuliwe.
Watanzania tuna mambo mengi asee, muda wa kuingillia maswala ya familia za watu unatoka wapi?
Hapa ndio pagumu kupata majibu mkuuVipi kuhusu kifo Cha ruge, kupotea been saanane, azory
Hivi makadirio ya mtanzania kuishi ni umri gani?Baada ya kupitia habri hzi tangu juzi moyo wangu unadiliki kusema kifo kina utata, ila ngoja tusubiri muda ufike.
Muda ni mwalimu mzuri!
Mkuu zimepungua ili kuweka ustaarabu tu mpaka msiba upite. Ukimalizika tutajua. Kuhusu kutofika machame siyo rahisi. Atazika ili kupisha maneno ya hapa na pale ila baada ya msiba true colours za wamachame zitajulikana.Naona tuhuma kwa Klyin zimepungua. Tuliwaambia msiwe obsessed sana na habari mitandaoni bila tafakuri.
Kuna wengine wakasema Klyin alirudi Nchini mapema!! Kuna waliosema eti hatafika Machame!
Cc Zogwale