Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Hahahaaah yaani huyu anatakiwa asipewe nafasi ya kuongea msibani.Nyie kama mnataka habari subirini Jiwe akienda msibani huwa Hana simile ataropoka yote.....,na Hadi Muda huu tayari kashadokezwa na wambea wake,koo Lina muwasha huko alipo