Kauli za Kikwete na Sirro zinaashiria kuna tatizo kwenye kifo cha Dkt. Reginald Mengi..

hapa nimenusa harufu ya zengwe kwa huyu binti,,huwezi ukaanza kufuatilia homicide baada ya mazishi kufanyika,ushahidi utabase kwa maneno ya mtandaoni na msibani?,au ndo binti anasukiwa zengwe la moneylaundry

Homicide hubase kwenye postmortem report na siyo mwili.

Mwili ukichachunguzwa unazikwa.

Postmortem ndiyo kila kitu.

Na hata ikitokea kuna sample au ushahidi umesahaulika, mahakama unaweza kuagiza kwamba kaburi lifukuliwe na mwili ufanyiwe utafiti tena.
 
Wachaga hawana utu kwenye pesa, washjua marehem kampa nafas kubwa mkewe na watoto wake wameanza tengeneza zengwe ili huyu mjane asipate kitu, Mungu anaona hata wao pia hawatokuwa salama kama huyu bint atakutwa na baya kwenye hili


Hata ingekuwa wewe, mama wa kambo anamdedisha baba ungetenda hivyo.

Hili halina Uchagga, pesa ni pesa tu, kama mtu anapata basi iwe kihalali.

Kyasaka tulia, hizi games hamuwezi
 
Kwa kweli ..amejitafutia balaa kubwa sana " Jela ina muita ...labda umuhonge jiwe papuchi huwenda akanusurika ...lakini jiwe alikuwa na mahusiano ya karibu na marehemu sidhani kama atahadaika na kulifumbia macho hili .....
Naona wazi kuna bonge moja la kesi litaibuka nakuitikisa nchi kama ilivyo kuwa kwa kifo cha kanumba na kesi ya mauaji ya Elizabeth Michael (lulu)
AMA KWELI TAMAA MBAYA

Mauti nyuma
 
Ingefaa zaidi huyo anayejiita mke wa marehemu Reginald Mengi na huyo basha wake Hussein wawekwe chini ya ulinzi wa jeshi la polisi kwa "usalama wao"....watanzania tusikubali kuufumbuia macho huu upumbavu unaodaiwa kufanya na huyo mwanamke.

WaAfrika huwa hamuachagi tamaduni za kuhukumu watu bila ushahidi. Binti hana makosa yoyote hadi ithibitike vinginevyo.
 
Nimetoka kumsikia Rais mstaafu Jakaya Kikwete akisema kuwa "Ukweli kuhusu kifo cha Mengi utajulikana baada ya mtoto wake na mdogo wake kuwasili, haya mengine tuyaache kwanza"
Kabla ya hapo tumemsikia IGP Sirro akisema kuwa tayari wamefungua jalada kukusanya tuhuma na kisha kufanya uchunguzi.
Ukweli ni kuwa ni mara yangu ya kwanza kusikia viongozi wakubwa wakisema hadharani mambo kama haya juu ya kifo. Ikumbukwe kuwa zimeibuliwa tuhuma nzito kutoka kwa Mange juu ya msiba wa Mengi.
Aidha mimi binafsi kama mdau nina ukaribu na moja wa marafiki wakubwa sana wa Regina Mengi na alinieleza waziwazi kuwa Regina Alienda Dubai baada ya kuwa na mashaka fulani fulani juu ya ukweli wa hali ya Mengi. Huenda likawepo jambo. Emb tusubiri ila sijawahi kuona haya yakizungumzwa na viongozi wakubwa tena ukiachilia mbali majuzi tulipata msiba wa Ruge na Mange aliibuka tena na tuhuma ila hazikusemwa popote tofauti kabisa na tukio tulilo nalo kwa sasa!


Mkuu embu dadavua/kakavua zaidi mkuu huko dubei nini kinajiri?
 
Hawa watu wanashangaza sana kisa Mange kasema
Mtu ana miaka zaidi ya 75 umri tosha huo kurud kwa muumba

Kuna natural death na artificial death.

Kifo cha mashaka lazima kuchunguzwe hata kama marehemu alikuwa na miaka 120 na angekufa dakika moja kabla ya kuuwawa.

Wacha watuhumiwa wachunguzwe na sheria ifuatwe
 
Nimemsikiliza vizuri Kikwete yaani kawapa kipaumbele watoto Abdiel na Regina,pia Benjamin mdogo wa Mengi. Hajamtaja Jack hata kidogo. Anasema kabisa anawaambia Abdiel na Regina wasimamie biashara ili kuendeleza legacy ya Mengi. Nikajiambia mjane Jack anasimama wapi? Kuna kitu aisee.

Una point sana
 
Nyie kama mnataka habari subirini Jiwe akienda msibani huwa Hana simile ataropoka yote.....,na Hadi Muda huu tayari kashadokezwa na wambea wake,koo Lina muwasha huko alipo
msema kweli ni mpenzi Wa Mungu....na ukweli utabaki Kuwa ukweli.
 
Memba wa Super Six aka kundi la majumba SITA hatari sana kwa vibabu na kuchimba dhahabu
 
Back
Top Bottom