Kauli za Kikwete na Sirro zinaashiria kuna tatizo kwenye kifo cha Dkt. Reginald Mengi..

Kwa kweli ..amejitafutia balaa kubwa sana " Jela ina muita ...labda umuhonge jiwe papuchi huwenda akanusurika ...lakini jiwe alikuwa na mahusiano ya karibu na marehemu sidhani kama atahadaika na kulifumbia macho hili .....

Naona wazi kuna bonge moja la kesi litaibuka nakuitikisa nchi kama ilivyo kuwa kwa kifo cha kanumba na kesi ya mauaji ya Elizabeth Michael (lulu)

AMA KWELI TAMAA MBAYA
Hakuna kitu kama hiki.
 
Wachaga hawana utu kwenye pesa, washjua marehem kampa nafas kubwa mkewe na watoto wake wameanza tengeneza zengwe ili huyu mjane asipate kitu, Mungu anaona hata wao pia hawatokuwa salama kama huyu bint atakutwa na baya kwenye hili
Hili ndiyo kubwa mkuu,huko deal zinafanyika kwa madaktari ili huyu bint atoke patupu
 
Mashaka yapo wapi mkuu
Acheni kupelekeshwa mkuu
Kuna natural death na artificial death.

Kifo cha mashaka lazima kuchunguzwe hata kama marehemu alikuwa na miaka 120 na angekufa dakika moja kabla ya kuuwawa.

Wacha watuhumiwa wachunguzwe na sheria ifuatwe
 
This is not exclusive to bongo.
Kama umeshawahi kuangalia Investigation Discovery utajua kwamba haya mambo yapo na ni ya kawaida sana.
Na hii ndo shida ya kuolewa na wazee. Hata kama Jackie hakuua ila hii fedheha ya kusingiziwa sii mchezo.
Imagine ni natural death

Itabidi jack ahamie sa kwa muda maana fedheha tupu

Kila atakapopita atakuwa anang'ong'wa
 
Eti alipigiwa simu Dubai na watoto wa marehemu kuulizia hali yake inaendeleaje....akasema mzee yuko fresh, wasiwe na wasiwasi kumbe watu wako njiani wanakuja wamefika wakamkuta mzee ICU...sijui kweli hizi stori ni za kweli!
Ngoja tuone hii movie inavyo endelea
 
Report ya hosp haitawekwa wazi, Hii itabaki kuwa siri ya serikali na wanafamilia..
 
Okky naona trailler ndo inaishia ishia hivo. Season kamili inaanza kesho.

Kwani K-lyn yuko wapi saahivi???
 
Kwa kweli ..amejitafutia balaa kubwa sana " Jela ina muita ...labda umuhonge jiwe papuchi huwenda akanusurika ...lakini jiwe alikuwa na mahusiano ya karibu na marehemu sidhani kama atahadaika na kulifumbia macho hili .....

Naona wazi kuna bonge moja la kesi litaibuka nakuitikisa nchi kama ilivyo kuwa kwa kifo cha kanumba na kesi ya mauaji ya Elizabeth Michael (lulu)

AMA KWELI TAMAA MBAYA
Huo utata au hata mazingira tu ya ku connect kifo cha Mengi na K Lyn ni yapi? Mbona watu mnakuwa na haraka ya kuhukumu namna hii?
 
Back
Top Bottom