Duh...kweli kushabikia magamba inabidi akili uwe umezifungia kabatin[yaan uciwe na akili kabisa]. Yaan hata cdm ikichukua majimbo 10 huon tofaut..?kwa huo mwezi mliouona mmesahau kwamba ni hivi majuzi tu tulikua igunga na uzini?au mmesahau ya tarime tulivyolirudisha jimbo kiubweeeete!
kiufupi huyo mbunge wenue tumemuzima tu jimbo.2015 litarudi tena kwa kishindo nguvu mpya,hili ndio ccm chama kubwa,hata msinde viti kumi vya ubunge kwa mpigo bado hamuifikii hata nusu ya wabunge wa ccm,kushinda jimbo moja si hoja hata mrema na tlp yake wameshinda jimbo moja but ccm palepale