Yaani Mwapachu anadiriki kusema Nyerere ni muongo ili tu ahalalishe kitendo cha Lowassa kununua nafasi ya kugombea urais Chadema na kumtosa Slaa. Yaani Edo kutoswa CCM kaonewa ila Slaa kutoswa Chadema ni sawa.
Kweli pesa mwanaharamu...
Soma uelewe ikibidi rudia hata mara kumi. nafikiri umepitia shule za kata