Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

Yani watu wanamuona nyerere kama mungu.Unafiki ukizidi tabu sana.
 
Mpaka Mzee Juma Volter Mwapachu amesema, basi maji yamefika shingoni. Jokes aside, this man always speak his heart out, not a hypocrite. Sio mnafiki na nadhani ndiyo sababu hajawahi kuingia kwenye active politics. Ni kati ya watu ambao nawaheshimu sana. Whether I agree with him or not on this one - for who you are and what you bravely said, Salute! Najua haikuwa rahisi.
 
Hivi kila mtu akiwa mzee anakuwa mwanazuoni?

Mbona sijaona hoja hapo hadi ajiite mwanazuoni! Yaani amesema kuwa Jk.Nyerere alisema faili la EL analo ila akazuia asigombee urais na badala yake akapewa uongozi wa chama, hiyo tafsiri yake ni nini? anadiriki kumlisha mwalimu maneno kuwa kitendo cha yeye kumpa EL uongozi wa chama basi ndio anapendwa, kwanini hakumuacha agombee urais?

Wanazuoni hebu niambieni mwaka 1995, nyerere alikuwa ndiye anagawa madaraka kwa wanachama wa ccm?

Mimi nadhani kama mtu anamkubali mwanasiasa fulani basi amfuate tu na aachane na chama alichopo maana ni haki kikatiba, au alikuwa anataka kusema nini?

Ukifuatilia utetezi wa richmond utetezi wote unaotolewa na pro EL unatofautiana, kila mmoja anatoa utetezi wa aina yake jambo linaloweza kuwafanya watu waendelee kuwa na mashaka na tuhuma hizo.

Kama wanataka kusafisha tuhuma zake ni vema wale wote waliotoa shutuma za ufisadi wa EL yaani viongozi wa chadema wakafunguliwa mashtaka na kujibu ni kwanini wamemchafua mheshimiwa, watoe ushahidi na ikibainika wana hatia sheria ichukue mkondo wake kwa mahakama kumsafisha EL na kutoa adhabu kwa washtakiwa, vinginevyo ni kutwanga maji kwenye kinu maana watu waliaminishwa hivyo na bado wanaendelea kuamini hivyo.
 
Lowasa aliwahi kuwa waziri wa nini katika utawala wa Nyerere?
 
Huyu mwapachu mbona ameshikilia nafasi nyingi utafikiri Tanzania hakukua na wasomi wengine?
any way, ameelezea vzr sana hisia zake na mimi binafsi namuunga mkono
 
Ni uchu tu wa madaraka kutoka kwa wana CCM wanao ama kambi na zinazokubalika na opportunist viongozi wa CDM, uwezi kutoka chama ambacho achilia mbali hizo shutuma za ufisadi walizokuwa wakipokea wote hao wamekuwa wakisimama na sera na itikadi za CCM za kitaifa kwa miaka yote tofauti kabisa na nyingi ya sera za CDM kipi kimebadilika tumeona tayari mifano ya watu waliolelewa na CCM na kuama kwa hasira kama Shibuda, Hamad Sharif, Mrema, Leticia Nyerere na wengine waliondoka na kurudi CCM wenyewe wengi wakiwa nje hawakuwai kutupa itikadi zao licha ya kuwa nje ya CCM na walipiga kura na CCM bungeni kwenye hoja za kitaifa kulingana na misimamo ya CCM.

Huyo Lowassa misimamo ya itikadi kabadilisha lini? baaada ya kukosa nafasi ya kuteuliwa kuwa raisi, huku ni kujidhalilisha tu kwa watu kama akina Tundu Lissu, Mnyika na Dr.Slaa, afadhali ata huyo Mbowe na mwezie Lema si vinara sana wa hoja za muungano tofauti na wabunge wao wengi.

Wafuasi wa CDM ni bendera kufuata upepo tu wao ilimradi Mbowe kaamua, vipi ingekuwa tofauti Dr.Slaa ndio kaamua kumpokea bwana Lowassa na Mbowe kapinga bado wange-support.

CDM ni useless the only reason this people have this much support kwa sababu siasa zenyewe za CCM kwa sasa pia ni ovyo mwenyekiti hayupo kuongoza chama for the most part kukitetea wala kutoa direction akitoka kwenye vikao sanasana anabaki kama raisi tu this is a major problem as if somebody else has that duty publicly ya kukiongoza chama.
 
Wana zuoni lazima ifike wakati tuwe wawazi na wakweli, kwa hali hii ya sasa Lowasa ndo Rais
Mkuu nakuunga mkono mia kwa mia
ila wanazuoni wazalendo na wasiosukumwa na mihemko ya matumbo yao
ni kidogo mno nchi hii,mpaka hata sisi wenye elimu za kati mnatuchanganya
mpaka kuamua kutoamini makala zenu.

Chukulia mfano mchakato wa katiba mpya
the so called Prof,doctors walichemcha mbaya mpaka
tukajiuliza hivi hawa ni wasomi kweli au ni ngumbalo(zile elimu za kuunga na super glue)

Lakini nakubali kwamba bado mpo wachache ambao bado mnajitambua
na sisi tunaheshimu mawazo yenu baada ya kuyasoma,
mfano mzuri ni uzi huu umekaa vizuri kwa mtazamo wangu na
kwa maslahi ya watanzania wenzangu.
 
CV Hii ya Mwapachu Ni Hatare Kama ya Dr. Salim Vile....

Kuna Watu Wana CV Ndogo Tu Kama Paragraph Moja Lakini WAMEWEZA KUFANYA MAKUBWA Na Sasa Wanakumbukwa Na Jamii Ya Watanzania. Naona Katika Hiyo CV Kuna Mahala Ameweka Hadi Mwaka Alioingia Choo Cha Nchini Marekani Kwa Mara Ya Kwanza. Na Hizo CV Zake Zote Ila Hakuwa Na Tija Katika Taasisi Karibia NYETI Alizowahi Kuziongoza Na Watu Kama Hawa Ndiyo Kwa Kiasi Fulani Wananifanya Hata Nisipate Na Hamu Ya Kufanya Masters Degree Yangu Na Hadi Kutamani Kuja Kufanya PhD Yangu Kwani Nilijua Kuwa Watu Wenye Elimu Kama Za Huyu Mwapachu WAMETUKUKA KIAKILI Na Ni WEREVU Huku Wakizitendea Haki Sijui Hizo Masters Na PhD Zao Lakini Nimegundua Wote Ni Bure Kichwani. Kwa Mfano Mdogo Tu :


  • Professor Kitilah Mkumbo.....UPOPOMA Tupu Umemjaa. ( Msomi ALIYETUKUKA )
  • Dr. Benson Bana.........FULL UPOPOMA. ( Msomi ALIYETUKUKA )
  • Jerry Muro ( M.A. ).......MAGUMASHI Matupu. ( Lakini Na Yeye Anajitapa Kuwa Ni Msomi ALIYETUKUKA )

Sasa Kwa Mfano Hao Watajwa Hapo Juu Kila Mtu Anajua Kuwa Ni Wasomi Lakini Je Usomi Wao Huo Una Tija Gani Katika Jamii Yetu? Hata Kijana Tu Wa Either Form Four Or Form Six Anaweza Akawazidi Hao Kwa Vitu Vingi Tu Pamoja Na Huo Usomi Wao.
 
Bukanga

Sidhani kama Edward Lowassa ana utajiri kumzidi Ridhiwani Kikwete.
 
Last edited by a moderator:
Yaani Mwapachu anadiriki kusema Nyerere ni muongo ili tu ahalalishe kitendo cha Lowassa kununua nafasi ya kugombea urais Chadema na kumtosa Slaa. Yaani Edo kutoswa CCM kaonewa ila Slaa kutoswa Chadema ni sawa.

Kweli pesa mwanaharamu...

Kama si muongo kwa nini asimburute mahakamani kwa wizi wa mali ya umma? Kama sio muongo basi Nyerere alikuwa mwizi kwani ni mwizi tu ndie atakayemruhusu mtu mwingine kuiba akimuona bila kumburuta mahakani.

Ukitaka kujadili kitu jadili kwa hoja sio hisia.
 
Bukanga

Huyu Juma Mwapachu anajulikana yuko timu Lowassa toka CCM, na kati ya wapambe wake au niseme washauri kama kina Nchimbi na Sofia Simba. Hivyo ukiona msomi anafuata mtu badala ya itikadi na sera ujue ni mchumia tumbo. Yawezekana yupo katika kundi la wale ambao wanataka haki yao ya kurithishwa mali kwa kazi ya wazazi wao. Inasikitisha sana..
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kweli Nduli Iddi Amin Dada alichoma bendera ya CCM zamani zile za vita vya kagera.Hivi ni kweli Tundu Lissu alimtukana Mw.Nyerere..je alitamka matusi gani...kama siyo ya nguoni diriki kuyataja.
 
Yaani Mwapachu anadiriki kusema Nyerere ni muongo ili tu ahalalishe kitendo cha Lowassa kununua nafasi ya kugombea urais Chadema na kumtosa Slaa. Yaani Edo kutoswa CCM kaonewa ila Slaa kutoswa Chadema ni sawa.

Kweli pesa mwanaharamu...


..tafsiri ya andiko hilo linaashiria kuwa "aliehamia chadema", ni kivuli tu...wale ambao ni kiwiliwili cha harakati zake, bado hawajavuka kwenda upande huo...huyu mwapachu ni sehemu ya kiwiliwili cha harakati za lowassa...
...kaka
 
Ni uchu tu wa madaraka kutoka kwa wana CCM wanao ama kambi na zinazokubalika na opportunist viongozi wa CDM, uwezi kutoka chama ambacho achilia mbali hizo shutuma za ufisadi walizokuwa wakipokea wote hao wamekuwa wakisimama na sera na itikadi za CCM za kitaifa kwa miaka yote tofauti kabisa na nyingi ya sera za CDM kipi kimebadilika tumeona tayari mifano ya watu waliolelewa na CCM na kuama kwa hasira kama Shibuda, Hamad Sharif, Mrema, Leticia Nyerere na wengine waliondoka na kurudi CCM wenyewe wengi wakiwa nje hawakuwai kutupa itikadi zao licha ya kuwa nje ya CCM na walipiga kura na CCM bungeni kwenye hoja za kitaifa kulingana na misimamo ya CCM.

Huyo Lowassa misimamo ya itikadi kabadilisha lini? baaada ya kukosa nafasi ya kuteuliwa kuwa raisi, huku ni kujidhalilisha tu kwa watu kama akina Tundu Lissu, Mnyika na Dr.Slaa, afadhali ata huyo Mbowe na mwezie Lema si vinara sana wa hoja za muungano tofauti na wabunge wao wengi.

Wafuasi wa CDM ni bendera kufuata upepo tu wao ilimradi Mbowe kaamua, vipi ingekuwa tofauti Dr.Slaa ndio kaamua kumpokea bwana Lowassa na Mbowe kapinga bado wange-support.

CDM ni useless the only reason this people have this much support kwa sababu siasa zenyewe za CCM kwa sasa pia ni ovyo mwenyekiti hayupo kuongoza chama for the most part kukitetea wala kutoa direction akitoka kwenye vikao sanasana anabaki kama raisi tu this is a major problem as if somebody else has that duty publicly ya kukiongoza chama.

Huyu naye!!!!!!!!!!!!! CCM ndo tatizo na cwez shangaa kwani kitu cha kwanza ilikuwa ni kuchakachua elimu uliyoipata ili usiwe na uwezo mpana wa kujifunza jambo jipya na kukuza fikra
 
Back
Top Bottom