sindano ya kushona
Member
- Apr 11, 2013
- 15
- 6
Mwapachu hawez kuandika iyo takataka apo! Mimi Ni team lowasa lakin sikubaliani Ni huu utoto
Si wananchi tulishajazwa kasumba ambayo haitoki kirahisi.Anyway JKN ana mazuri na madhaifu,hakuwa malaikaLowassa anamnukuu Nyerere anapotafuta sapoti ya wananchi.
Hii post ni ya uongo. Kazi ya vichwa maji Bavicha. Mwapachu siyo mjinga kama wao. Tena wamuombe radhi huyu mzee
Mwapachu hawez kuandika iyo takataka apo! Mimi Ni team lowasa lakin sikubaliani Ni huu utoto
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Amb. Juma Mwapachu - Resume [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"][/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"][/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
CURRICULUM VITAE OFAMBASSADOR JUMA VOLTER MWAPACHULLB; DIP. International Law; D.Lit; FCMI.
........
Edward Ngoyai Lowassa Alizaliwa Agosti 26, 1953,na kukulia Katika Kijiji Cha Ngarash huko Monduli,akiwa ni mtoto Mkubwa wa Kiume Kwa Mzee Ngoyai Lowassa.tafadhali tukumbushe alikuwa na wadhifa gani kipindi cha Mwalimu?
Wana zuoni lazima ifike wakati tuwe wawazi na wakweli, kwa hali hii ya sasa Lowasa ndo Rais
Kwani Nyerere alikuwa Malaika?. Na unadhani Kwa dhati kabisa kwamba mwalimu hakuwahi kudanganya hata kidogo ktk kipindi chote alichoongoza nchi hii ili kupitia sera aligoma a zinafaa Kwa Mitazamo yake binafsi?Yaani Mwapachu anadiriki kusema Nyerere ni muongo ili tu ahalalishe kitendo cha Lowassa kununua nafasi ya kugombea urais Chadema na kumtosa Slaa. Yaani Edo kutoswa CCM kaonewa ila Slaa kutoswa Chadema ni sawa.
Kweli pesa mwanaharamu...