Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Keshajichokea mzee wa watu wamuache apumzikeHatujachelewa yeye ndiye awe candidate wa urais 2015 ana sifa zote.
Keshajichokea mzee wa watu wamuache apumzikeHatujachelewa yeye ndiye awe candidate wa urais 2015 ana sifa zote.
Oh YEAH... Kweli kabisa; Walimfanyia VISA SALIM SALIM... NDIE angekuwa Rais wetu sasa hivi...
TUACHE UNAFIKI !!!
Kwani hujui kuwa huyo Dr, siku zote anatumia ile falsafa inayosema mtumikie kafir upate mradi wako?!Hivi huyu Dr Benson Bana ana maslahi gani na CCM? Na Kikwete? Maana naona kila mara anaacha kabisa kuainisha mambo kwa upeo wake wa ki-Dokta na kutoa hoja zenye mashiko, amebaki kubusu-makalio (kissing @sses) tu!
Awaombe radhi wachaga
Hatujachelewa yeye ndiye awe candidate wa urais 2015 ana sifa zote.
Hivi huyu Dr Benson Bana ana maslahi gani na CCM? Na Kikwete? Maana naona kila mara anaacha kabisa kuainisha mambo kwa upeo wake wa ki-Dokta na kutoa hoja zenye mashiko, amebaki kubusu-makalio (kissing @sses) tu!
Wachagga walikufanyaje?
JK hakumaanisha kua anafuata falsafa za Mandela, yeye n mzee wa Jino kwa Jino!!
Nani anamkumbuka aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mbeya kabla jk hajawapangua wakuu wa mikoa kwa mara ya kwanza? kisasi cha jk kilifanya kazi.