hili nalo lina tija kwa watanzania???au mwendelezo wa sifa za KIJINGA
wewe na huyo beregu wako hamjui maana ya neno kisasi na neno kisa au mkasa.
kikwete ingawa alikoseshwa urais 1995 lakini hajamfanyia kisasi mkapa.
tuoni ufafanuzi wewe, beregu na wengineo ni kisasi kipi alicho kilipa kikwete baada ya kupata urais.
"kikwete ni raisi wa watu hata mnyika anajuwa"
[FONT=century
gothic]Oh YEAH... Kweli kabisa; Walimfanyia VISA SALIM SALIM... NDIE
angekuwa Rais wetu sasa hivi...
TUACHE UNAFIKI !!![/FONT]
Hajui kuwa wa-South Africa wanamiliki migodi hapa Tanzania yeye anabaki kukenua mimeno kwa jina kutajwa la kwanza msibani
Kikwete anajua alivyolipiza kisasi wakati wa utawala wake. Wapo viongozi wazuri tu walioachwa kwenye serikali yake kwa sababu ya kulipa visasi. Lakini uraisi una mwisho wake. Akikumbuka kwa dhati ya moyo wake jinsi alivyotekeleza visasi vyake anaogopa akiacha uraisi wapo aliowanyanyasa watakaoingia madarakani wanaoweza kuhitaji kumlipizia kisasi. Ndiyo maana anatumia nafasi ya msiba wa Mandela kijikingia ngao. Mwalimu hawezi kufundisha somo asilolijua. Kutolipa kisasi Kikwete hajui.Kikwete hajui kusamehe, hajui kusahau neno baya alilotendewa. Atafundishaje? Kama yeye anasema amejifunza mengi kutoka kwa Mzee Madiba, mbona alilipa na bado alipa kisasi kwa watu wasioafikiana naye. Tusemeje sasa au alijifunza kinyume chake? Ni kama Shehe anayekataza kula nyama ya nguruwe huku yeye mwenyewe akiwa anaila.
amwachie kwanza Babu seya
DR.BENSON BANA anatumiwa na maccm...anafikiria uongozi tu
Hivi huyu Dr Benson Bana ana maslahi gani na CCM? Na Kikwete? Maana naona kila mara anaacha kabisa kuainisha mambo kwa upeo wake wa ki-Dokta na kutoa hoja zenye mashiko, amebaki kubusu-makalio (kissing @sses) tu!
Hawajanifanya kitu, ila kuna kundi la wapuuzi wachache wewe ukiwa ni miongoni mwao mnaoharibu taswira yao nzuri.
Mhadhiri wa kitivo cha siasa kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana alisema kauli ya Rais Kikwete imewafumbua macho wananchi kwamba kukiwapo na kiongozi mwenye mrengo wa kulipiza kisasi hatapata kamwe kura za Watanzania.
Ni Kweli JK aombe radhi