Kauli ya First Lady wa Dk. Slaa, Josephine

Aiseee!! Yaani kuna bilioni zaidi ya 700 zimechotwa kati ya 2008/9? OMG, hii si mara sita ya zile za EPA? Aaaah, I better go for war! Yaani mbayuwayu wananyimwa mishahara na wanafunzi wa vyuo vikuu wanakosa mikopo wakati kuna bilioni hizi zote zinatafunwa na hawa wehu? For real, I better go for war kuliko kuwaachia nchi hawa majambazi.
And again, kumbe kule kuanguka ni HIV? Hii sasa kali! Mbona siku ya kampeni ya Tanzania bila UKIMWI inawezekana aliwaongoza watz kwenda kupima na akasema yeye na mkewe wako safi kumbe ilikuwa danganya toto? Kaazi kwelikweli.

Mfalme hakai uchi hata siku moja
 
Mtaibua na kubukua sheria zote ,ila kwa hili mkuu hatoki ,labda wamuonee huruma ,jingine ni aibu kwa kiongozi wa Chama kubaka wanawake tena wanaoonyesha kuwepo kwa undoa ,yaani haiingii akilini kabisa ,kwa mheshimiwa kama Slaa kuvaa mwananmke ambae data zake zina utata ,na sasa ndio analipa price.

Mkuu huchoki???????? You would have been making a point lakini I see in ur mind unafikiri Dr. Slaa anazuia Lipumba kuchagulika which is non sense, this is democracy live with it. Na kinachoendelea kwenye hii ishu ni sehemu ya siasa. Kwa hiyo kama wewe unaona dr. slaa hafai kwa sababu ya hii issue ni sawa and you have tht right lakini siyo kulalamika weeeeeeeeeeeeee kwenye kila thread. Lipumba will be a distant third this yr, na ndiyo mwisho wake kisiasa. Mark my words. That is a fact, na ni sehemu ya siasa pia.
 
(According to Nipashe Newspapers)

[FONT=ArialMT, sans-serif]Lissu alisema, kuna mambo binafsi kadhaa ya baadhi ya wagombea urais, ikiwemo matatizo ya afya yanayojulikana chanzo chake, lakini Chadema haiwezi kuyazungumzia jukwaani ama kuyatumia kama njia ya kupata kura.[/FONT]

“[FONT=ArialMT, sans-serif]Hatutaki hata kuzungumzia ‘status’ ya ukimwi kwa baadhi ya wagombea, ana wake wangapi, ana vimada wangapi...nani anakwenda nje kubadilisha damu kila miezi sita, hatutazungumzia siasa za chumbani kama wanavyotaka tufanye, kwa sababu hayatatatua matatizo tuliyonayo,” alisema.[/FONT]

My take, kama kweli anayoyasema Tundu Lissu (kubadilisha damu kila miezi sita) ni ya kweli (it is serious issue) na vielelezo vipo kwanini wananchi wasielezwe wazi afya ya kiongozi wanayetaka kumchagua? Huo ndio ujumbe wangu kwanini tufiche ugonjwa.
 
Mheshimiwa ,panapoungua au kuteketea ni hapa kwetu ,let us say Chadema,sasa sisi ikiwa ni wakombozi wategemewa inatakiwa tuwe clean ,wasafi tusiolingana wala kufanana na tabia za yule tunaetaka kumuondoa in any way's, hili lililomkumba Dr Slaa natumai halipo katika tabia nzuri na ,mambo kama haya yanatokana na kuchagua watu kwa umaarufu wao bila ya kuwachunguza tabia na mwenendo wao kutoka huko walikotoka ikiwezekana tokea walipokuwa shule , hilo hatulifanyi ,kichama na ni kutokana kuwa vyama vyetu vipo katika umimi na sio umoja na mkubaliko wa wengi ni wachache tu ndio wa kusikilizwa na wenye nguvu walitakalo ndilo hutekelezwa , hivyo haya tuyaonayo ndio faida zake.

Walikutana na kumpitisha Slaa au sio ,kuwa mgombea wa Uraisi ,hakuna aliehoji uhalisia wa Slaa kitabia ,umaarufu wa kupasua mabomu pale bungeni ndio umewezesha kwa yeye kupitishwa ,au sivyo ? Mnajua mtu anaweza kuwa msemaji mkuu kabisa na akawa machachari ,mkali akisema anatoa cheche ,lakini nyuma ya yote hayo tabia yake sio nzuri na imejificha ,pitia masomo ya saikolojia yatakwambia mtu wa aina hiyo mara nyingi huwa anaficha tabia yake ,na tabia ya Slaa hapa inaonekana anatatizo flani flani. Ajabu kwamba bado kuna watu hawalioni hili na wanaendelea kumutetea wakilinganisha na kuyafananisha na mambo ya CCM.

Kamanda Ngoma iko Mahakamani, ya nini tuumize vichwa?

All will come out in Black and White!

Subira yavuta heri. Kwao tuliosikia what is going on behind the scene, you will be shocked! Na hakuna atakayebaki salama.

Usicheze na political cases!
 
Sasa huo utakuwa ni unyanyapaa kwa waathirika.kwani mgonjwa wa ukimwi haruhusiwi kuwa kiongozi? si anaishi kwa matumaini?Acheni hizo bwana.
 
Mfalme hakai uchi hata siku moja

You are right Mpambalyoto, but I got to know why the guy is outside the country after every month, kumbe huwa ni kwenda kubadilisha damu? Kwa kweli hafai kuwa Rais if this has a truth in it, manake anaitia hasara nchi kutokana na safari zake za kila leo ambazo zinagharimiwa na wananchi maskini.
 
Tatizo Chadema wamejeruhiwa pabaya na mambo yeshakuwa makubwa ,hapa ipite huruma tu mahakama iamuriwe kutupiliaa mbali shitaka hilo ,yaani ccm wapite nyuma ya pazia na bila ya shaka itakuwa ni blackmail
 
Sasa kama mtu amefikia hatua ya kuanguka anguka si ina mana ugonjwa umekomaa sasa kwanini asipumzike tu?Si kumnyanyapaa bali tunaangalia maslahi ya taifa.
 
Safari za nje kila mara

Mytake
Chadema naomba msiongelee hizi habari za ukimwi kwenye kampeni mana watu wataanza kulia kuona kiongozi mgombea ana ukimwi
 
josephine amesemaje sasa kuhusu tuhuma hizi

sijaona katika taarifa hii

mkuu soma vizuri taarifa utagundua kwamba josephine na dr slaa wamemtumia mwanasheria wao kusema kwamba majibu yao yote wataenda kutoa mahakamani.hawa watu wana akili kama ulikuwa unasubiri waropoke ropoke hovyo hovyo kama kuhusu tuhuma zao umechemsha kama walivyotegemea kile chama cha wapumbavu.


swala liko mahakamni na huko ndio watajibu tuhuma zao ,wamewaacha mnaumiza kichwa matokeo yake hapa tumepewa data ambazo wahusika au muhusika kama bp haijampanda saa hizi basi ana moyo wa chuma.

Bora wachafuane chafuane labda at the end of the day watanzania tutafaidika kwani miaka 50 ya kunyanyaswa na kuzulumiwa mali za umma ni mingi sana bila kuona mwangaza wowote mbeleni.


Watu wanaanzisha vita vya mawe wakati wanaishi kwenye jumba la vioo.
 
:becky::becky:.....!!!! ndo maana alipima VVU hadharani bila kutoa majibu mpaka leo.....!!!! :becky::becky::becky:

kaaaaaaaaaaazi kweli kweli...
!
 
Bado wagombea wanayo nafasi ya kunadi sera na ilani za vyama vyao pamoja sifa binafsi kwanini wachaguliwe wao na si wengine. Hakuna haja ya kuwa na Jazba kwa Chadema baada ya kashfa za ngono kuchafua hali ya hewa bila kutarajia. Tundu Lisu tuliza mpira na wakati mwingine mkikaa kimya itaoneka mko weledi kuliko kujibu kila hoja.

Kuchafuana ni sehemu ya gemu katika siasa na si Dr. Slaa pekee hata Obama alipigwa na kashfa wakati wa kampeni.
 
:becky::becky:.....!!!! ndo maana alipima VVU hadharani bila kutoa majibu mpaka leo.....!!!! :becky::becky::becky:

kaaaaaaaaaaazi kweli kweli...
!
kwani nyie wote hapa mmeshapima?na kama kuna aliyeathirika ,je aliachishwa kazini? Mie sioni uhusiano wa vvu na uongozi ukizingatia VVU sio ukimwi...
 
Back
Top Bottom