Ndugu zangu,
Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.
Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.
Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.
Nawasilisha.
Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.
Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.
Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.
Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.
Nawasilisha.
Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.
Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo