Kauli Ya Ehud Barak Si Tu Ya Kupuuzwa, Bali.....

maggid

JF-Expert Member
Dec 3, 2006
1,084
1,246
Ndugu zangu,

Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.



Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.

Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.

Nawasilisha.

Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.

Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
 
Ndugu zangu,

Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.



Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.

Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.

Nawasilisha.

Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.

Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
Kwani walisemaje,mkuu? Sijaipata hiyo kauli tafadhali
 
Kwani mtu akikuambia "we mpumbavu" ilhali we unajua c mpumbavu, then ukamtaka akuombe samahani akakataa, unafanyaje? C kweli we mpumbavu? Unaonaje!
 
Jiulize enzi za Nyerere angethubutu kusema hayo uyo Ehud Barak?
Current regime is not serious in everything!
 
Ndugu zangu,

Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.



Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.

Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.

Nawasilisha.

Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.

Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo

Nimependa mtazamo huu. Umejaa busara na hekima. Hauna pupa ba umeonyesha ukomavu.
 
Ndugu zangu,

Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.



Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.

Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.

Nawasilisha.

Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.

Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo

we need some consistency here. unless of course the above "outburst" has been triggered by some "israel factor".

why am i saying this?

yupi utakayehitaji akuombe radhi zaidi na ukamkalia kooni hadi afanye hivyo kati ya hawa..... anayekwambia "you are irrelevant" (Israel) au yule anayekwambia "shika ukuta" (britain)?

zaidi ya kuipinga kauli tu na kulalamikalalamika dhidi ya britain, sijamsikia mtu yeyote aliyewataka watutake radhi (sisi tukiwa ni beneficiaries wakubwa tu wa grants/loans kutoka britain, this barb was aimed rightly at us amongst many like us!).

so why pick on israel now before settling the britain score first?
 
Na Habari hii sio ya kupuuzwa

Canada has always spat on the face of Tanzanians!” read a line on a mail from one of my friends after I circulated the article which publicised the deportation of Canadian diplomat who spat at the police personnel in Tanzania. But spitting on one’s face does not equal the untold story of the 13 year old girl who was forced to have sexual intercourse with a dog in the hands of Barrick Gold Corporation in Sengerema District – Tanzania.
 
Ndugu zangu,

Nimefuatilia michango ya waliotangulia. Nami mtazamo wangu ni huu; Kauli ya Ehud Barak si tu ya kupuuzwa. Bali, Tanzania , kama taifa, iliweke wazi hilila upuuzi wa Barak kwa Serikali ya Israel na kwa njia za Kidiplomasia ili Israel kama nchi ielewe upuuzi uliotamkwa na Waziri wake.



Ni kauli ya dharau kubwa kutoka kwa waziri wa taifa ambalo lingeweza kuwa jirani zetu kama League of Nations ingeendelea na hoja ya kuwatafutia Waisrael waliokuwa wakitangatanga duniani ardhi ya kujishikiza baada ya Vita Kuu ya Dunia. Uganda ilikuwa tayari kutoa sehemu ya ardhi ya nchi yake kuwasitiri Wayahudi.

Kwa kutambua ukweli huu wa kihistoria na kauli hiyo ya Barak. Hivyo basi,Tanzania iitake Israel ituombe radhi. Kinyume cha hapo, Tanzania ina uwezo wa kupambana na kushinda kwenye vita vya Kidiplomasia dhidi ya Israel. Na nia na sababu za kufanya hivyo tutakuwa tunazo. Ndipo hapo ndipo Israel itatambua kuwa Tanzania is relevant.

Nawasilisha.

Maggid Mjengwa,
Bagamoyo.

Desemba 31, 2011
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo

Heshima ya nchi hujengwa kwa mifano hai ya watu wake. Nchi hii yote ni ya wageni wachumaji. Wakati inauzwa mbona hukusema. Kama imeuzwa umaana wake uko wapi? Bora Ehud kuliko mawazo yako. Nchi hii hata chaguzi zake ni uji-nga mtupu. Yaliyojiri igunga ni ushetani mtupu. Hatuna heshima kama Taifa. Mfano: change ya Rada ni uji-nga tu!
 
ehud barak amejibu mapigo,chokochoko zilianzishwa na sisi.mara leo watu wameandamana kuwasupport wapalestina,mara kesho watanzania wanafuturu kwenye ubalozi wa palestina.membe kwa mara kadhaa ametoa kauli dhidi ya israel,kwa vyovyote vile israel hawakufurahishwa na kauli au vitendo vyetu na hivyo wanajibu mapigo.sioni haja ya kulalamika kama vipi tuendeleze vita ya kidiplomasia.
hapa tunapata funzo kuwa kiherehere hakitakiwi bado tuna mambo mengi ya kuyaongelea na sio mashariki ya kati,libya,zimbabwe n.k
tufunge midomo na tuongee kwa maslahi ya tanzania tu.
 
Back
Top Bottom