CCRBT atupe majibu
Wewe ndio zoba kwelikweli!! Mawazo yako ni ya kichawi, la sivyo, wewe ni kipofu kabisa!!! Dr Slaa ame-compare fedha zinazoibiwa na kile ambacho ccm wanatamba majukwaani kuwa wamekifanya. Ameonyesha dhahiri kwamba upo ufisadi mkubwa sana wa fedha za umma. Sasa wewe huo ufisadi si kitu kwako??Kilomita zaidi ya 11,000 kwa kipindi cha Kikwete tu ni upuuzi? huyu mzee kweli hamnazo.
Amesha jiuliza, Mkoloni, Nyerere, Mwinyi na Kikwete na yeye akiwemo hukohuko kabla ya ujio wa Kikwete walitengeneza kilo mita ngapi? jumlisha zote pamoja na za Slaa, uone kama zinafika hata nuzu za hii miaka 7 tu ya Kikwete.
Kumbuka, ukitoa mkoloni, Nyerere miaka 24 KM ngapi? Mwinyi (na Slaa akiwepo)? Mkapa ngapi? Kiwete zaidi ya KM 11,000.
Amma kweli akutukanae hakuchagulii tusi.
Hivi mkuu unatoka pori gani wewe?? Ama kweli wewe ni zoba kwelikweli!!! Mtoa mada anauliza iwapo ccm ina majibu ya tuhuma zilizotolewa na Dr Slaa. Sasa wewe unaleta utumbo gani hapa??Wataifuta hii nyuzi sasa hivi, wao wanaweka picha watu wanaanza kuingia uwanjani ndio wanasema za mkutano.