Duh!! ... huyo ndiyo mpelelezi mkuu au? Mbona kama mchemshaji?
mh.. hii kauli inamashaka ikiwa ameitoa...
Hapa nilikuwa nasikiliza radio TRIPLE A FM asubuhi chagonja kaulizwa swali na mwandishi wa habari kuhusu kujeruliwa kwa nassari Chagonja akajibu hivi. Huyo nasari alipigwa kwasababu yeye alienda kufanya nini huko na siyo kwao. Swali langu lowasa kule ni kao pia naye si ni mmeru iweje leo watu tunaongelea swala na makabila? Hawa viongozi watatumaliza mungu tuepushe na hili linalo likumba taifa ila tanzania ya leo siyo ile ya zamani tunaelewa tulipo toka na tulipo na tunapoenda