Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia

Kauli Tata za Gwajima dhidi ya Kikwete zarejea kwa Samia

ustadhijuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
3,133
Reaction score
2,117
Askofu Josephat Gwajima ameendelea kudhihirisha chuki zake dhidi ya Uislamu, msimamo aliokuwa nao tangu enzi za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ambao sasa ameuhamishia kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Si mara moja wala mara mbili ambapo Gwajima ametumia majukwaa ya dini na siasa kutoa kauli zenye ubaguzi wa kidini.

Katika moja ya video zake enzi ya utawala wa Kikwete, Gwajima aliwahi kusema hadharani: “Uongozi wa Kikwete ndiyo ulikuwa wa mwisho kufuga majini Ikulu.”

Kupitia kauli hiyo, alijaribu kupandikiza fikra potofu kuwa Rais Kikwete, kwa kuwa Muislamu, alikuwa mshirikina na mfuga majini.

Si hilo tu, aliwahi pia kusema kuwa “dini ya Kiislamu ni dini ya uchawi na majini.” Kauli ya uchochezi inayolenga kuchafua taswira ya dini hiyo.

Gwajima pia aliwahi kutamka kuwa ana ndoto ya “kugeuza misikiti yote kuwa shule za Sunday Schools” akisisitiza kuwa hatafariki kabla ya kutimiza ndoto hiyo.
 

Attachments

  • IMG-20250605-WA1073.jpg
    IMG-20250605-WA1073.jpg
    107 KB · Views: 20
Kauli na matamshi ya Askofu Gwajima siyo tu yanakiuka misingi ya mshikamano wa kitaifa, bali pia yanavuruga amani ya kidini ambayo Watanzania tumeijenga kwa miaka mingi. Tanzania ni nchi ya watu wa dini mbalimbali, na viongozi wa kidini wanapaswa kuwa mfano wa kuhubiri upendo, si chuki. Kauli za kubeza Uislamu na kutoa matamshi ya kibaguzi dhidi ya dini nyingine ni hatari, na zinaweza kuchochea migawanyiko isiyofaa. Ni muhimu jamii isimame kidete kulaani aina hii ya uchochezi kwa ajili ya kulinda umoja wa taifa letu.
 
Nyinyi ndio mnafanya waislam tuonekane mapunguwani, mazumbukuku.

Halafu mbona quraan imesisitiza sana matumizi ya akili, wenzetu huwa mnazipeleka wapi hizo akili?

WAislam msikubali kutumika Kwa mambo ya kisiasa, kwani hiyo sa100 anausaidia Nini uislam katika nchi hii isiyo na dini rasmi?

Nchi Haina dini, Kuna uhuru wa kuabudu, kiongozi yoyote ambae anafaa kutuletea maendeleo ya kidunia, huku kila mtu ana uhuru wa kuabudu basi anatufaa.
Hatuchagui mtu Kwa dini yake, bali Kwa sita zake za uongozi.
 
Kauli na matamshi ya Askofu Gwajima siyo tu yanakiuka misingi ya mshikamano wa kitaifa, bali pia yanavuruga amani ya kidini ambayo Watanzania tumeijenga kwa miaka mingi. Tanzania ni nchi ya watu wa dini mbalimbali, na viongozi wa kidini wanapaswa kuwa mfano wa kuhubiri upendo, si chuki. Kauli za kubeza Uislamu na kutoa matamshi ya kibaguzi dhidi ya dini nyingine ni hatari, na zinaweza kuchochea migawanyiko isiyofaa. Ni muhimu jamii isimame kidete kulaani aina hii ya uchochezi kwa ajili ya kulinda umoja wa taifa letu.
Gwajima alisema kauli gani?
 
Nyinyi ndio mnafanya waislam tuonekane mapunguwani, mazumbukuku.

Halafu mbona quraan imesisitiza sana matumizi ya akili, wenzetu huwa mnazipeleka wapi hizo akili?

WAislam msikubali kutumika Kwa mambo ya kisiasa, kwani hiyo sa100 anausaidia Nini uislam katika nchi hii isiyo na dini rasmi?

Nchi Haina dini, Kuna uhuru wa kuabudu, kiongozi yoyote ambae anafaa kutuletea maendeleo ya kidunia, huku kila mtu ana uhuru wa kuabudu basi anatufaa.
Hatuchagui mtu Kwa dini yake, bali Kwa sita zake za uongozi.
Wewe ni kafiri usijiweke kundi la waislamu. Narudia tena wewe ni kafiri.
 
Back
Top Bottom