RUKIA MBONDE
Member
- Mar 7, 2019
- 64
- 50
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi amewaomba wafanya biashara nchini kutopandisha bidhaa mbalimbali kuelekea kipindi hiki cha mfungo wa ramadhani, huku akiwataka Waislamu wote kuwa macho ifikapo mwezi 29 ili kupata taarifa sahihi juu ya mwandamo wa mwezi huo.