Kauli nzito aliyoitoa Joshua Nassari yawagusa wazazi walala hoi wa tanzania

katika uzinduzi wa kampeni ya ubunge kwenye jimbo la arumeru mashariki mgombea wa chadema alitoa kauli moja nzinto, aliongea mambo mengi ya msingi alakini funika ni lile la kuhusu wazazi kuchangishwa hela ya madawati kila watoto wanapofaulu kujiunga kwenye shule za sekondari, mzazi mwanae hawezi pokelewa mpaka aje na dawati au atoe hela yenye thamani ya hiyo dawati.

Swali gumu sana kulijibu na rahisi sana kulijibu. Kwa mtazamo wangu labda uwe na roho ngumu kuliko ya paka ndipo utakapo chukua uamuzi wakuipigia kura sisiemu. Hivi hata wewe mzazi umeshawahi kujiuliza swali kama hilo nahatakama ulijiuliza dhahiri hukua na wakukusaidia zaidi ya kulala mika na kuacha mambo yaende.

Toka lini mwanao karudi na dawati aliloenda nalo siku yakwanza shule?inamaana lilichakaa au ilikua vipi mbona hakurudi nalo? Huu wizi na unyanyasaji tuupige vita kwa kuchagua chadema daima tofauti na hilo tutabaki kuumizwa mpaka siku tunaenda kaburini. Tuache ushabiki katika mambo ya msingi kama haya.





katika suala la dawati hapa walimu wanajisahau sana,nadhani hawajui kama tunajua.mimi mwanangu kamaliza shule f iv nilipeleka dawati,sasa amemaliza lakini hawakumpa dawati alilopeleka akiwa f i. Moja kwa moja dawati lile lile kauziwa mwanafunzi/mzazi mwingi kwa bei ya juu zaidi tofauti na nilivyonunua mimi.sasa jiulize hivi dawati lililo nunuliwa na kukaliwa bei inatakiwa ipande au ishuke?.
Watanzania tunaibiwa.hawa hawanatofauti na majambazi ila hawa hawatumii silaha. Ila mwizi ni mwizi tu.
 
Tatizo kubwa lilikuwa muda mfupi, na ile ilikua ufunguzi tu. Naamini jamaa ni kichwa, ikiwa ni siku ya kwanza.
 
Namwonea huruma sana nasari anashindwa mara ya pili . Hakika mtanikumbuka hiki nachosema tarehe 1.
 
Why? can you prove?

Chadema hawako serious baba..unawajua yale makanisa ya manabii yanayoibuka kama uyoga..kitabia wanafanana na cdm

Nilichoka na hotuba ya mwenyekiti (sijui lini amekuwa mlokole)...80% anazungumzia mungu wake wtf..

Nikwambia mdogo arudi haraka nyumbani maan umekuwa mkutano wa dini na si wa siasa..

ulitaka aongelewe shetani ndio ulizike kwakuwa chama chenu cha magama kina mambo mengi ya kishetani kama wizi wa fedha za umma,kuteka watu kipindi cha kampeni na dhambi nyingi tu wizi wa kura ndio maana mambo ya Mungu yakitajwa unajisikia ukakasi wa masikio jua kiama chenu magamba kimefika mkuu.
 
Namwonea huruma sana nasari anashindwa mara ya pili . Hakika mtanikumbuka hiki nachosema tarehe 1.

Who are you tukukumbuke wewe, Nasari ni mbunge tarehe 1 nguvu zenu za kishetani zinakwenda kushindwa vibaya Arumeru sio Igunga ndugu huyo muweka heleni wenu anashindwa vibaya safari hii.
 
Nakaribia kutowaelewa nini hakikueleweka. Leo ilikuwa uzinduzi mwenyekiti alikuwa anatoa mstakabali mzima wa uchaguzi na umuhimu wake kitaifa, nataraji Joshua atapata nafasi zaidi kwenye mikutano ya kampeni.


Mkuu bora ya Mbowe kuliko Mkuu kutumaliza kwa aibu kule Davos na mambo ya manufacturing of teachers .Nakubaliana nawe kabisa kwamba ulikuwa ni ufunguzi na mgombea atasema sana hadi akaukiwe sauti .
 
Who are you tukukumbuke wewe, Nasari ni mbunge tarehe 1 nguvu zenu za kishetani zinakwenda kushindwa vibaya Arumeru sio Igunga ndugu huyo muweka heleni wenu anashindwa vibaya safari hii.

dogo hana uwezo jana ndio nimeamini ameshindwa kujieleza kabisa . Kama kutakuwepo na mdahalo ataaibika sana . Kubali ukweli tu.
 
Nassari inabidi ajipange vizuri upande wa hotuba lazima tukiri jana hakuanza vizuri na tusitafute visingizio.alipaswa kupewa muda wa kutosha kuzungumza kwa kirefu mipango yake.Tusipuuze audience ile na tv juu!
 
..kwanza hotuba ya mwenyekiti ilikuwa ndefu kuliko ya mgombea ubunge Joshua Nassari.

..pili mgombea alipoteza muda kwa kuzungumzia mambo ya kuoa na kuanza kutoa mifano ya wabunge wa chadema ambao hawajaoa au kuolewa.

..tatu, Joshua Nassari akamtambulisha mama yake huku akimsahau baba yake.

..baada ya hapo akaanza kutoa orodha ya malalamiko na kero bila kueleza yeye ana program gani ya kutatua malalamiko na kero alizoorodhesha.

..I want CDM to win in this contest, but I was not inspired by Nassari's performance today.

NB:

..suala la elimu kwa kweli linanigusa sana.

..naamini wananchi wanapaswa kuchangia kwa ajili ya elimu, iwe ktk manunuzi ya vitabu, madawati, kuwamotisha waalimu kufundisha muda wa ziada,etc etc.
sina uhakika kama unaelewa maudhui yanayobebwa kwenye uzinduzi wa kampeni,pole sana ndugu, endelea kufuatilia kampeni uone tofauti ya uzinduzi wa kampeni na kampeni zenyewe, halafu ninachojua ni kuwa joshua nassari si mgeni wa kampeni za ubunge kwa kuwa alishiriki kugombea mwaka 2010 na alifanya vizuri.
 
..kwanza hotuba ya mwenyekiti ilikuwa ndefu kuliko ya mgombea ubunge Joshua Nassari.

..pili mgombea alipoteza muda kwa kuzungumzia mambo ya kuoa na kuanza kutoa mifano ya wabunge wa chadema ambao hawajaoa au kuolewa.

..tatu, Joshua Nassari akamtambulisha mama yake huku akimsahau baba yake.

..baada ya hapo akaanza kutoa orodha ya malalamiko na kero bila kueleza yeye ana program gani ya kutatua malalamiko na kero alizoorodhesha.

..I want CDM to win in this contest, but I was not inspired by Nassari's performance today.

NB:

..suala la elimu kwa kweli linanigusa sana.

..naamini wananchi wanapaswa kuchangia kwa ajili ya elimu, iwe ktk manunuzi ya vitabu, madawati, kuwamotisha waalimu kufundisha muda wa ziada,etc etc.[/QUO
Kwanza mpe kura ndo itakuwa key ya yeye kuweza kuwa na nguvu ya kupambana na hizo kero bila sisi wananchi kumpa ridhaa ya yeye kutuwakilisha hatokuwa na uwezo wa kuzitatua.
 
Think great before you post senseless comments!!!
Kuwa ni swala la local Government haimaanishi ni halali/sahihi au haukutaka Nassari alipinge? Sijakusoma una maana gani?
Si kwamba kila ambacho diwani hajapinga au kuongelea basi mbunge asikipinge au kukisema, na sio yote lazima uwe umemshauri diwani. Nakushauri ukamuulize Nassari pengine katika tafakuri zake ndipo akaliona na hili kama jambo nyeti la kurekebishwa, si lazima awe ameliona siku za kale inawezekana kalitafakari wiki hii, je umemuuliza ni lini ameling'amua?? Sijui wewe unaongelea nini hasa???


Kuhusu michango ya madawati, hilo ni suala la Local government.
Je, composition ya local government Meru ikoje?
Na kuna diwani yeyote kutoka CDM aliyewahi kupinga hilo?
If not, yeye aliwahi kumshauri diwani yeyote wa CDM apinge suala la madawati?
 
dogo hana uwezo jana ndio nimeamini ameshindwa kujieleza kabisa . Kama kutakuwepo na mdahalo ataaibika sana . Kubali ukweli tu.
Mvaa heleni ndio wakumlinganisha na Nasari yaani hapo mkuu unalinganisha mlima kilimanjaro ndio Nasari na Kichuguu ndio Sioi sijui Naoa.
 
..kwanza hotuba ya mwenyekiti ilikuwa ndefu kuliko ya mgombea ubunge Joshua Nassari.

..pili mgombea alipoteza muda kwa kuzungumzia mambo ya kuoa na kuanza kutoa mifano ya wabunge wa chadema ambao hawajaoa au kuolewa.

..tatu, Joshua Nassari akamtambulisha mama yake huku akimsahau baba yake.

..baada ya hapo akaanza kutoa orodha ya malalamiko na kero bila kueleza yeye ana program gani ya kutatua malalamiko na kero alizoorodhesha.

..I want CDM to win in this contest, but I was not inspired by Nassari's performance today.

NB:

..suala la elimu kwa kweli linanigusa sana.

..naamini wananchi wanapaswa kuchangia kwa ajili ya elimu, iwe ktk manunuzi ya vitabu, madawati, kuwamotisha waalimu kufundisha muda wa ziada,etc etc.

Mkuu, ilikuwa muhimu kwa M/kiti kuongea kwa muda mrefu kuliko Nassari kwa vile Nasari bado ana muda mwingi wa kuongea wakati wa kampeni.

M/kiti alikuwa anatoa vision ya chama
 
Mvaa heleni ndio wakumlinganisha na Nasari yaani hapo mkuu unalinganisha mlima kilimanjaro ndio Nasari na Kichuguu ndio Sioi sijui Naoa.

usiongee sana mkuu njoo jumajatu usikie hoja za nguvu . Alafu utapima mwenyewe nani mkali.
 
Naona kam vile wewe ndo hauelewi, mwanzoni nilikuwa nakasirika wakati wanawaita mavuvuzela kumbe ni kweli!!! kama "Your mentally unfit" na "Your mentally fit" mnatuambia eti kila kitu kiko wazi, hii ni hatari na ndio maana mko hivyo. Hayo mlikuwa mnaadika ni misamihati ya kiingereza, mlikuwa mnatujulisha maneno ya kiingereza yanavyoandikwa au ni sentensi?????


quote_icon.png
By Manjagata
Hii kitu ndo nini jamani? "Your mentally unfit" na "Your mentally fit" au macho yangu?


hujaelewa nini sasa wakati kitu kipo wazi hapo..?otherwise huelewi kabisa kilichoandikwa hapo..
 
massai said:
Katika uzinduzi wa kampeni ya ubunge kwenye jimbo la arumeru mashariki mgombea wa chadema alitoa kauli moja nzinto, aliongea mambo mengi ya msingi alakini funika ni lile la kuhusu wazazi kuchangishwa hela ya madawati kila watoto wanapofaulu kujiunga kwenye shule za sekondari, mzazi mwanae hawezi pokelewa mpaka aje na dawati au atoe hela yenye thamani ya hiyo dawati.

Swali gumu sana kulijibu na rahisi sana kulijibu. Kwa mtazamo wangu labda uwe na roho ngumu kuliko ya paka ndipo utakapo chukua uamuzi wakuipigia kura sisiemu. Hivi hata wewe mzazi umeshawahi kujiuliza swali kama hilo nahatakama ulijiuliza dhahiri hukua na wakukusaidia zaidi ya kulala mika na kuacha mambo yaende.

Toka lini mwanao karudi na dawati aliloenda nalo siku yakwanza shule?inamaana lilichakaa au ilikua vipi mbona hakurudi nalo? Huu wizi na unyanyasaji tuupige vita kwa kuchagua chadema daima tofauti na hilo tutabaki kuumizwa mpaka siku tunaenda kaburini. Tuache ushabiki katika mambo ya msingi kama haya.​

  • Yeye amesema atafanya kuondoa hali hiyo?
 
Hii kitu ndo nini jamani? "Your mentally unfit" na "Your mentally fit" au macho yangu?

Ni matumizi ya lugha tu. Hoja ya hapa ni is "Mentally unfit", if not has to prove otherwise or confirm, and to prove otherwise is if is "Mentally fit". And since he/she jumped into parrot answering, he/she should be "Mentally Handicapped"
 
Back
Top Bottom