Kauli mbiu ya CHADEMA nguvu ya Umma na wabunge 23

Shame on u!ni kashfa kubwa sana mwanaume kutumiwa!ww una2miwa!na ukifuatilia historia wa2 weng walio na historia ya kutumiwa huishia kuuawa il kuficha ushaid za wakubwa wao!so kama una2miwa narudia tena KAMA UNA2MIWA cku zako c nying!
 
El ndie anaewalipia mahari ndio maana hajui maana ya nguvu ya umma. Ukiona kijana anashabikia magamba tena kujiona mkereketwa huyo ana makengeza ya akili. Asubirie uchaguzi A-Town ndio atajua nguvu ya umma nini maana yake. Cdm sio chama cha porojo ni chama cha vitendo.
 
Jamani ritz ana roho ya chuma, duh! Subiri 2015 utajua maana ya nguvu ya umma
 
ritz,kwa matokeo ya chaguzi zetu na sehemu mbalimbali inaonyesha wagombea wanaweza kushinda kutoka sehemu moja ya nchi,kwa kura alizopata jk,kanda ya pwani peke yake ingeweza kumweka madarakani,hivyo huenda sehemu walizopatikana hao wabunge 23 watu walijitokeza kwa wingi na kumpigia Dr,ilo la wabunge lisikutishe.
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23

Kaa pembeni,kawma huna kazi shika ukuta nepi atakukuta ukimsubiri.HUWEZI KUONA NGUVU YA UMMA?KUBWA JINGA WEWE.
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23

Ritz naona umeshaanza kupata ahueni na kuweza kuropoka ki..Jin.Ga na kimagamba kias hcho!,una akili za maiti na tena umelogwa na magamba hustahili kuitwa binadamu huna tofauti na bata!.Matahira Tz ni wengi na wewe n mmoja wao,huna lolote wewe.
 
Mie nachojua ni kimoja, sitaki jua deffinition ya kitu maana hainisaidii, CHADEMA NI NGUVU YA UMMA, and that is a FACT!!!! MIE sijui kijana gani mwenye akili timamu na muelewa anayeipenda CCM, itabidi MPIMWE AKILI MAKOFONGO NYIE .............
 
I doubt your intelligence sir! You needed to apply yourself before typing, that is all I can say...

I pledge to help u by the following note:

Terms of reference:

(1) Think of the Tz political system for the past 50 years;

(2) Think of which among the political parties is priviledged with gvt resources, history, and an opportunity to still ballots, if it wishes so to do;

(3) Turn your mind to nature and behold a seed and how it springs into a huge tree or to contruction where they start with one brick into a Tower, or to a wise saying, "Rome was not built for one day".

(4) Then logically twist your mind to what has recently transpiried at Arumeru,

(5) That is the essence of Peoples Power. If you don't understand today, don't worry, you shall learn it in 2015.
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
 
Mnapoteza muda na hawa wapumbavu ? Nilijua wanasoma mada za moto hawagusi ila wanategea kuja na pumba kama hizi .Can learn how to ignore these loosers jamani tujenge heshima ya mijadala ya maana ? Maana wao na Chadema tu ndiyo walivyo ambiwa wakiwa ukutani:eek: .

oooops!!
 
Mkatisha tamaa, mwana wa ibilisi hii nchi umeambiwa itabaki na ccm milele? Let the people play their part.
 
Back
Top Bottom