Kauli mbiu ya CHADEMA nguvu ya Umma na wabunge 23

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,903
32,312
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23

We need to have a common definition ya nguvu ya umma, you might be arguing on a point which is has no common base to both parties. Kwanza tuwe na definition moja, then tuangalie kama falsafa ya chadema ya nguvu ya umma in characteristics hizo. vinginevyo you have no basis to support your contention above.
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Mimi nilidhani wana wabunge 48..
Kumbe mmewapunguza wamebaki 23!!
hii imetokea lini mkuu???
 
huyo mandazi anajadili hoja gani isiyokuwa na kichwa wala shingo.....lete hija zinazojadilika humu jamvini...kama haja ni nguvu ya umma namba wadau watoe dfn ili awe na wigo wa kufikiri c kukurupuka na pili, mbna hoja ya wabunge sijaielewa..wadau nielimisheni
 
Hivi tukianza kukujazia non-sense bado utasema tumechangia thread yako?
Ritz, be realistic my brother!
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Unauhakika kwamba Chadema, CCM na vyama vingine walishinda kwa kiwango gani? Mimi nawewe tuliambiwa hivyo na tume ya Taifa ya uchaguzi iliyo na watu Kama Rajabu Kiravu waliowekwa pale na Mgombea wa CCM. Hata hayo majimbo 23 Chadema wayashukuru sana maana wangeweza kupewa chini ya hapo na hii Tume. Ritz mimi na wewe tunatakiwa tupate katiba mpya ambayo itapelekea kuwa na Tume huru ya uchaguzi hivyo tutashudia uchaguzi huru na wa haki siyo lazima upelekee ushindi kwa CHADEMA.
 
igunga ccm waliiba kura 26000,chadema wakapata 23000 kwa mujibu wa tume yenu.
sasa unchopinga ni nini?
pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.
 
igunga ccm waliiba kura 26000,chadema wakapata 23000 kwa mujibu wa tume yenu.
sasa unchopinga ni nini?
pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz.
Pia idadi ya wabunge sio kigezo sahihi cha ku criticize kwamba CDM ni nguvu ya umma au la.
Cha kumkumbusha mtoa mada hii ni kwamba hata Mbuyu ulianza kama mchicha kwa hiyo hiyo ni nadharia ya mwanzo kwamba kila kitu kina mwanzo wake.

Au mwenzetu alijikuta tu mkubwa, yatakuwa maajabu na ushabiki wa chama anachokipenda.
 
Nakuhurumia sana.Umepewa shilingi ngapi kwa upupu huu ulioleta hapa jamvini? Huoni aibu? Mods please thread kama hizi hazina nafasi hapa jamvini.Tujadili mambo ya msingi.
 
Ritz, Mbona pumba hivyo? Hivi CCM kinakubalika zaidi ya CDM? Huhitaji ubongo mkubwa kuliko ubongo wa kuku kuona kuwa CDM imefanya makubwa ambayo sasa CCM inabidi iyakubali kwa NGUVU ya UMA. Je unafahamu kuwa mabadiliko ya katiba haikuwa sera ya CCM bali ya CDM? Sasa CCM wameivalia njuga. Mbona ni rahisi tu kuelewa mkuu? Hebu tumia ubongo wako ambao nina uhakika ni mkubwa kuliko wa kuku. Ooops mara nyingi ubongo mkubwa waweza kuwa tupu eh!
 
Nakuhurumia sana.Umepewa shilingi ngapi kwa upupu huu ulioleta hapa jamvini? Huoni aibu? Mods please thread kama hizi hazina nafasi hapa jamvini.Tujadili mambo ya msingi.

Acha kulilia kwa Mods: jenga hoja JF sio ya CDM..nguvu ya umma ni wabunge 23?
 
Kuchagua raisi ni kitu kimoja na kuchagua mbunge ni kitu kingine.

Pamoja na kazi nzuri sana iliyofanywa na NEC kwa kushirikiana na TISS bado utaona kuna majimbo wananchi wamechagua mbunge wa ccm lakini raisi wakamchagua Dr. Slaa au Prof. Lipumba na vivyo hivyo kuna majimbo wamemchagua mbunge wa chadema/nccr/cuf lakini raisi wakamchagua JK.

Hili ni jambo ambalo liko wazi kabisa na wewe ritz unaelewa ukweli huu kwa kuwa akili ya kuelewa ukweli huu unayo isipokuwa umeponzwa na kitu kimoja tu, kuuza uhuru wako kwa ccm kwa ujira wa buku mbili kwa siku.
 
Naomba mwana CDM yoteyote mwenye data za ushindi wa urais wa CDM tuwekeeni tujadili..

Tujue Dr. Slaa alipata kura ngapi za urais
 
Naomba mwana CDM yote mwenye data za ushindi wa urais wa CDM tuwekeeni tujadili..

Tujue Dr. Slaa alipata kura ngapi za urais

weka kwanza hapa jamvini mgogoro kati ya Nape na Millya umefikia wapi.
 
Naomba mwana CDM yote mwenye data za ushindi wa urais wa CDM tuwekeeni tujadili..

Tujue Dr. Slaa alipata kura ngapi za urais


unachekesha sana mpaka leo NEC wamegoma kuyaweka mtandaoni matokeo ya kura za urais, wanaogopa kuumbuka maana matokeo yao ni yale yaliyochakachuliwa na CDM wanayo yale ambayo ni Hardcopy yaliyisainiwa na mawakala vituo vya kupigia kura.
HOJA YAKO HAINA MSHIKO
Kama sio NEC, JK angekuwa raia au angebaki mwenyekiti wa CCM tu.
 
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..

Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.

CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..

Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?

Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..

Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..

Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23

sounds like zawadi ngoda
 
Back
Top Bottom