WANA MMU,
Hizi kauli mbiu za valentile day 2015 zinatoa ujumbe gani ?? Je ni kweli wanawake ndiyo wametoa kauli mbiu hizi au wanaume wameamua kuzitoa na kuzitawanya??? Binafsi nimesikia mbili....Je wewe??
''..... yooo Mamsapu!!! Nipoze moyo mama nimechanganyika penzi lako la maana.. mapenzi si ugomvi mapenzi si uhasama, nipe penzi nikupe hapa mimi ni salamaaaa.. oo mamsap..... Ewe Zabibu....'' Joseph Haule ft Hard Blasters Crew (HBC).
Wana MMU.
Hizi ni kauli mbiu za valentine day 2015 zinatoa ujumbe gani, je ni kweli wanawake ndiyo wametoa kauli mbiu hizi au wanaume wameamua kuzitoa na kuzitawanya.Binafsi nimesikia mbili ,je wewe.
1) Mapenzi pesa,maua peleka kwa nyuki na kadi peleka klinic.
2) Tumechoshwa na kadi, kutolewa out na kuvaa nguo nyekundu.Tunahitaji mwaka 2015 mtoe posa na kutoa mahari.
Kazi kwenu,toeni mahari sasa.
"valentile" ndo nini?
''..... yooo Mamsapu!!! Nipoze moyo mama nimechanganyika penzi lako la maana.. mapenzi si ugomvi mapenzi si uhasama, nipe penzi nikupe hapa mimi ni salamaaaa.. oo mamsap..... Ewe Zabibu....'' Joseph Haule ft Hard Blasters Crew (HBC).
Wana MMU.
Hizi ni kauli mbiu za valentine day 2015 zinatoa ujumbe gani, je ni kweli wanawake ndiyo wametoa kauli mbiu hizi au wanaume wameamua kuzitoa na kuzitawanya.Binafsi nimesikia mbili ,je wewe.
ila du umechoma panapo
1) Mapenzi pesa,maua peleka kwa nyuki na kadi peleka klinic.
2) Tumechoshwa na kadi, kutolewa out na kuvaa nguo nyekundu.Tunahitaji mwaka 2015 mtoe posa na kutoa mahari.
Kazi kwenu,toeni mahari sasa.
mh! ckutegemea wew ndo una mbwembwe hivi
''..... yooo Mamsapu!!! Nipoze moyo mama nimechanganyika penzi lako la maana.. mapenzi si ugomvi mapenzi si uhasama, nipe penzi nikupe hapa mimi ni salamaaaa.. oo mamsap..... Ewe Zabibu....'' Joseph Haule ft Hard Blasters Crew (HBC).
valentino sabora riko
riko vaave kwamba
Tized Mhhhhh. Ni hii valentine au ...