Kauli mbiu ya Total War yawakera baadhi ya mashabiki wa Simba SC

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,223
15,075
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
 
Kauli mbiu inakazi ya kuleta hamasa kwa mashabiki na stimu ya kiushangiliaji

Kauli mbiu haina msaada wa kufifisha matokeo, ingekua ni hivyo basi kusingekua na investment ya kusajili wachezaji wakubwa international. Badala yake tungetafuta footblal politician wenye motivation slogans

Na hata lawama za yanga kuwalaumu makocha zisingekuwepo badala yake wangelaumiwa washangiliaji na walio buni kauli mbiu ya mchezo husika
 
Mimi ni Simba na hiyo kauli mbiu nimeikubali sana, yaani Haji Manara na wenzake nawapa tano ... Kumbuka hiyo vita ya kimpira, usijedhani ni vita ya Kagera kumtoa nduli.
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
 
Hivi vikauli mbiu ni upuuzi kama upuuzi mwingine
Simba ikipata ushindi huwa unaumia sana, na kwa Simba hii itakusababishia SONONA.

ref mechi ya As vita vs Simba baada ya Simba kupata ushindi ilikuumiza sana.
 
Vikauli mbiu vipi ivyo vya kipuuzi"Daima mbele nyuma mwiko" ama kaulimbiu ipi?
yani yanga wakitaka ubingwa wa ligi mpaka hapo watakapo badilisha hilo lislogan lao "daima mbele nyuma mwiko"
mpaka wautoe huo mwiko huko nyuma kwao ndo watapata ubingwa VPL
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Nimesoma na kurudia tena sijaelewa main point yako ni ipi!! Ni kaulimbiu ndiyo itakayopelekea Simba kutokupata point 3 ama ni ubora wa team ya Al ahly??
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Bora ya simba je wewe utopolo unawaogopa mbeya city mpaka unalilia mbereko za marefa
 
Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.

Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.

Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.

Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Unateseka ukiwa mkoa gani

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom